GP
JF-Expert Member
- Feb 5, 2009
- 2,049
- 160
Huyu wa pembeni mama huyo ndo mama ake huyu Dr. Ali Salim?
Huyu kijana wa salm mbona kaoa mzee au kuna exchange kati ya baba na mtoto? maana yangu ni kwamba kijana kasimama na mama yake wakati baba kasimama na mkamwana nafikiri itasound zaidi
Jk akiwa katika picha ya pamoja na Katibu mkuu mstaafu wa umoja wa Afrika Dr.Salim Ahmed Salim(kushoto) Pamoja na Mkewe Amne Salim(kulia) na Dr.Ali Salim Pamoja na mkewe Karly Salim wakati wa sherehe ya harusi yao iliyofanyika Ijumaa katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijinji Dar
Maashaalah..mkewe Salim anaonekana kijana mno...
duh!
Hata mimi inanichanganya huyo mama mzee ni mke wa Salm au ni wa Dr.Ally Salim?
dogo hapo kasimama na MAMA yake, na dingi kule kasimama na MKWE wake, simple.