MAFILILI
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 2,377
- 1,194
ikulu ni nyumbani kwa rais...hakuna tafsiri nyingine na rais ana uwezo wa kufanya sherehe yeyote aitakayo..hata obama mkewe hufanya sherehe zake white house! Nyerere alikuwa akifanya misa, clinton akipiga vipapi na mkapa akilewa hadi anatambaa!...leo ikulu ndogo ambayo ni nyumbani kwao jk aliko mzazi wake! Mlitaka hii harusi ifanyike st.peters?
Inaonyesha wakristu mna chuki sana na uislaam na hakika wafuasi wa cdm mnaanza kupoteza mwelekeo kwa sababu tatizo sio jk na dini yake bali ni ccm.
tukumbushane, hata mkapa alioza mtoto wake akiwa madarakani katika viwanja wa ikulu. Jk kama rais hajiongozi bali wana usalama wanatoa amri kuhusu mahala muafaka pa yeye kuhudhuria sherehe.
Acheni mbowe afanyie sherehe bilicana club, jk ni rais anaamuriwa sehemu ya kufanyia sherehe, acheni wivu wa kitoto unaoambatana na ucdm!