CAMARADERIE
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,419
- 1,920
Mbona jamaa kama amemuwowa mkewe?
Muislamu ndugu yake ni muislamu mwenzake.waislam watupu?hawana marafiki wakristo?
Hivi kumbe Rais Kikwete ana ndugu wa karibu; mbona sijawasikia wakiwa na madaraka serikalini kama wafanyavyo viongozi wengine ambao wakipata madaraka tu iwe chamani au serikalini basi utakuta mashemeji hayaaaa, baba wakwe hayaaaa, wake za watoto wao hayaaaa, kaka hayaaaa, dada hayaaa!!
Jamani tuache Wivu! mimi mbona hapo sioni ishu yoyote?
Ikulu ni jengo mahsusi ya kuishi Rais na familia yake huku akifanya shughuli za kitaifa na kimataifa,ieleweke kuwa kabla Jakaya hajawa Rais alikuwa na nyumba yake huko bagamoyo,mara tu baada ya kuwa Rais nyumba ile kwa vile ndipo anapofikia akienda Bagamoyo,basi wakaona ni vyema ikatumika kama makazi rasmi ya Rais,lakini ukweli ni kwamba nyumba ile ni mali ya Jakaya na anao uwezo wa kufanya chochote pale kama ambavyo wewe unao uhuru wa kufanya jambo kwenye nyumba yako,provided huvunji sheria za nchi.Mbona hatuwaulizi waajiriwa wa serikali wanaofanya besdei zao kwenye nyumba za serikali?imekuwa nongwa kuwa Rais,hata kwako hurusiwi kufanya shughuli zako?wengine humu mnatia aibu kufuatilia maisha binafsi ya Rais,kwani yeye sio binadamu?Mbona Obama anafuga mbwa ikulu?
acha tu ndugu yangu ivuga ni wamepauka ile mbaya na inaonekana bwana harusi anamuoa mke wake..mbona huyu mdogo ndio anaonekana kama mzee?au life msoto.. JK naona kawa mweupe kiyoyzi nini? au kwa vile anaishi kwenye ndege?
Ikulu ni jengo mahsusi ya kuishi Rais na familia yake huku akifanya shughuli za kitaifa na kimataifa,ieleweke kuwa kabla Jakaya hajawa Rais alikuwa na nyumba yake huko bagamoyo,mara tu baada ya kuwa Rais nyumba ile kwa vile ndipo anapofikia akienda Bagamoyo,basi wakaona ni vyema ikatumika kama makazi rasmi ya Rais,lakini ukweli ni kwamba nyumba ile ni mali ya Jakaya na anao uwezo wa kufanya chochote pale kama ambavyo wewe unao uhuru wa kufanya jambo kwenye nyumba yako,provided huvunji sheria za nchi.Mbona hatuwaulizi waajiriwa wa serikali wanaofanya besdei zao kwenye nyumba za serikali?imekuwa nongwa kuwa Rais,hata kwako hurusiwi kufanya shughuli zako?wengine humu mnatia aibu kufuatilia maisha binafsi ya Rais,kwani yeye sio binadamu?Mbona Obama anafuga mbwa ikulu?
mjomba swala la harusi ni issue ya private na ikulu si mahala pa kufanyia private issues kumbuka kwamba kila kitu ndani ya ikulu kinalipiwa na umma wa tanzania umeme, maji. simu na hata makochi waliyokalia kwahiyo huwezi kutumia public office kufanyia mambo yako binafsi na ukoo wako na hata hao wanaofanya bithdays party kwenye ofisi wanafanya kimakosa just because everybody does it that does not make it right.Ikulu ni jengo mahsusi ya kuishi Rais na familia yake huku akifanya shughuli za kitaifa na kimataifa,ieleweke kuwa kabla Jakaya hajawa Rais alikuwa na nyumba yake huko bagamoyo,mara tu baada ya kuwa Rais nyumba ile kwa vile ndipo anapofikia akienda Bagamoyo,basi wakaona ni vyema ikatumika kama makazi rasmi ya Rais,lakini ukweli ni kwamba nyumba ile ni mali ya Jakaya na anao uwezo wa kufanya chochote pale kama ambavyo wewe unao uhuru wa kufanya jambo kwenye nyumba yako,provided huvunji sheria za nchi.Mbona hatuwaulizi waajiriwa wa serikali wanaofanya besdei zao kwenye nyumba za serikali?imekuwa nongwa kuwa Rais,hata kwako hurusiwi kufanya shughuli zako?wengine humu mnatia aibu kufuatilia maisha binafsi ya Rais,kwani yeye sio binadamu?Mbona Obama anafuga mbwa ikulu?