Harusi kuanza kulipiwa kodi

3. Sherehe yoyote itakayofanyika kwenye ukumbi usiozidi sh. 700,000/= hakuna kodi.
Kodi:
(a) 18% = 3,600,000/= au ukijitahidi kudanganya kuhusu bajeti, unaenda kwenye (b)
(b) 100% ya Hall = 2,500,000/= au ukijifunza kuacha makuu, utafuta ukumbi wa 1,500,000/=, unahamia (c)
(c) 100% ya Hall = 1,500,000/=

Teh tehe, serkali haijatoka kapa
Basi poa tu, mteja na mmiliki wa ukumbi mnalipana 2,500,000/= lakini mnakubaliana muidanganye serikali kuwa ukumbi ni sh. 500,000/=, so hakuna kodi hapo
 
nafunga ndoa yangu ya kiislam ndan na mashahid wasiofika watano ukijumlisha na familia mbili jumla watu kumi alafu tunapeana masharti "nyie msipige vigelele watajua"
 
Kutolipa kodi si dhambi
Nitakwepa pale inapobidi
Kama kulipa ndio matumizi yao kila mwaka kutengeneza ikulu ile ile au barabara zinazochanika baada ya mwezi
Wenye moyo na nchi watalipa mimi nitakwepa kadiri nitavyoweza
 
Magufuri usipokaa ukaandaa mkakati wa kutumia rasimali za nchi kama madini, gas, utalii, ardhi kwa kilomo na ufugaji, uvuvi na miundo mbinu km bandari utapiga sana kelele na walipa kodi, nchii hii inawananchi maskini ambao ata watoe mali zao zote huwezi kuendesha nchi. Cha msingi ebu jitafakari mapema jinsi ya kutumia rasilimali mhimu tajwa hapo juu.
Magufuri usipokaa ukaandaa mkakati wa kutumia rasimali za nchi kama madini, gas, utalii, ardhi kwa kilomo na ufugaji, uvuvi na miundo mbinu km bandari utapiga sana kelele na walipa kodi, nchii hii inawananchi maskini ambao ata watoe mali zao zote huwezi kuendesha nchi. Cha msingi ebu jitafakari mapema jinsi ya kutumia rasilimali mhimu tajwa hapo juu.
Magufuri usipokaa ukaandaa mkakati wa kutumia rasimali za nchi kama madini, gas, utalii, ardhi kwa kilomo na ufugaji, uvuvi na miundo mbinu km bandari utapiga sana kelele na walipa kodi, nchii hii inawananchi maskini ambao ata watoe mali zao zote huwezi kuendesha nchi. Cha msingi ebu jitafakari mapema jinsi ya kutumia rasilimali mhimu tajwa hapo juu.
Umeongea point hii nchi bado inafursa nyingi tuu sijui niseme hazionekani au hazitumiki? Kwa Tanzania hatujafikia kukusanya kodi kwenye michango ya harusi ni aibu, mwisho itahamia kwenye misiba sasa
 
Zilipiwe tu,maana zimezid ufahari sana.Utakuta wanaharusi hawana kipato chochote cha kuendeshea maisha yao ya kawaida wazazi wao wanawafanyia harusi za kufuru.Mara kicheni pati,send off,haneimuni na tebo pati.Zinasumbua watu kwa michango ya fedha kwani zina milolongo mingi ya sherehe hata baada ya harusi.Ni ufahari mtupu.
 
Harusi za mamilioni wakati wanandoa hawana miradi ya kiuchumi,bora kutumia sehemu kuanzisha mtaji wa biashara.
 
Harusi za mamilioni wakati wanandoa hawana miradi ya kiuchumi,bora kutumia sehemu kuanzisha mtaji wa biashara.
 
bora waweke michango ya harusi imezidi sana, wakiweka harusi zitakuwa zinafungwa kanisani tu hakuna kwenda ukumbuni wala kuchangiana, baada tuchangie watoto waende shule tunachangia harusi duuuh
 
nafunga ndoa yangu ya kiislam ndan na mashahid wasiofika watano ukijumlisha na familia mbili jumla watu kumi alafu tunapeana masharti "nyie msipige vigelele watajua"

Dhahabu na mahari yatatozwa ..na wale wasukuma watoa ngombe ..tutagawa ngombe kwa tra
 
13599963_1734562576820964_1266197003760023836_n.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom