Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,821
KAIZER ,mahari elfu 20 ?! ,Wapi huko wanapatikana kwa 20.000 ,yaani mahari niliyodaiwa ya milioni mbili napata wake 100 ,aloo hebu nitumie walipo kwenye pm ,salaaleh ,yaani kama bahati naona inaelekea kuniangukia ,ila huku nikiwambia mahari hayo ya 20,000/- watanifukuza tu hawana chaguo jingine ,yaani ni kadi nne za mtandao wa simu za elfu tano tano . Pengine hao wana ugonjwa flani ,haiwezekani kabisa udaiwe fedha hiyo .yaani hapo hata sherehe nzima nitaihudumikia ,sihitaji ushirika wowote ule.
Kaizer inawezekana haujafika hapa Tz mida mwingi ,inaonyesha uliondoka wakati wa kipindi cha watu kutelekezwa geza ulole,siku hizi kama huna juu ya milioni na nusu basi inakuwa mbinde ,maana utaanziwa ,unajua hata fanicha siku hizi zimepanda ,vyombo ndio usiseme hizo milioni umetoa itabidi na sie wazazi tumuongezee mwenetu apate mambo ya nyumbani na atengeze nyumba yake ,unaletewa stori ndeeefu ,ukizubaa tu umeumia ,hizo feza huyo mtoto wala haioni ,yaani angalau unaweza kupanga na huyo mke kuwa baada ya harusi akurudishie japo nusu ya mahari.
hahahahaha Mkuu Mwiba unanivunja mbavu kweli..mi nimezungumzia katika muktadha wa dini, hususan ya kiislam, ambayo kwa jinsi ninavojua mahari ni haki ya mwanamke anayeoa, kwa hiyo akisema anataka 20,000, basi hakuna zaidi na hailzaimishwi, kwa hiyo we pangana na mchumbako!
Hayo ya fenicha na nini kwani huyo binti ndo ameshakuwa mtaji wa wao kupata fenicha, hivi ufisadi si ni pamoja na huu mkuu!
Njoo bara huku, kuna makabila wanaoza, wala huhitaji kutoa mahari maana wao wameshatajirika tangu zamani!