PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,724
Ndani ya wiki mbili ambazo zinaisha leo, Halmashauri ya Wilaya ya Meru walitoa Tangazo kuwa kuna viwanja 70 vilivyopimwa, hivyo wananchi wanatakiwa kuchukua fomu kwa tshs 10,000/= na kuzijaza!
Wajanja tukawahi mapeema na tukajaza hizo fomu!...Lakini cha ajabu nimepita huko leo, nikakuta list ya watu walioomba viwanja hivyo 70 kwa sasa imepita 2600, na bado milango iko wazi, na hela inazidi kupokelewa!
Na strictly viwanja viko 70!
Hii mambo ikoje wandugu?..Hiyo si dalili ya ufisadi na kujipatia mapato isivyo halali kwa wakuu wa Manispaa hii?...Nimeachwa hoi!...Labda mnisaidie wandugu...!
Wajanja tukawahi mapeema na tukajaza hizo fomu!...Lakini cha ajabu nimepita huko leo, nikakuta list ya watu walioomba viwanja hivyo 70 kwa sasa imepita 2600, na bado milango iko wazi, na hela inazidi kupokelewa!
Na strictly viwanja viko 70!
Hii mambo ikoje wandugu?..Hiyo si dalili ya ufisadi na kujipatia mapato isivyo halali kwa wakuu wa Manispaa hii?...Nimeachwa hoi!...Labda mnisaidie wandugu...!