Striker Searcher
Member
- Jul 3, 2012
- 37
- 4
Huna jipya. Tafuta habari zenye mashiko kifikra na nakuahidi kuku-support. I don't see anything new here.:yawn:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siasa itabaki kuwa siasa, sijui unataka kutuambia nini hapo, mbona hutupi majina ya wanaccm waliohusika kuua arumeru, kupiga wabunge wa cdm-mwanza na hata huyu anayehusika na utekaji wa dr. ulimboka?
1.Katibu wake mkuu anakabiliwa na kesi aliyofunguliwa na Rose Kamili.
Kwamba anamuwekea pingamizi la ndoa iliyokuwa imetajwa kufanyika july 21 mwaka huu.Pamoja na mambo mengine Kamili anadai alipwe fedha za matunzo ya watoto.
Hali hii kwa katibu mkuu wa chama inamfanya kupoteza muda mwingi kudeal na kesi hiyo na chama kukabiliwa na wakati mgumu.Pia mahasimu wao wa kisiasa wanatumia mwanya huo kuwaharibia kuwa kuhusu uadilifu na hawafai kuongoza nchi.....
naona umeingia na ID mpya! hizi damu ulianza kumwaga Igunga,Arumeru na sasa jimboni kwako zinakupagaisha?!Na hili ndilo tatizo la baadhi ya wanachadema humu JF.Ni bora kukisaidia chama kivuke salama kutoka hapa badala ya kujifariji kwa ushabiki wa kipumbavu.Mambo sio mazuri tukisaidie chama chetu kitoke salama.
For a political party like CHADEMA needs potential experience through constraining challenges.So worry out,things will be cool soon.Critically,some of chadema members learnt many thing through the situation especially during this parliamentary season.Athough aluta....M4C
kijana aliyekunywa pombe aina gongo na kufariki baada ya kulewa sana huko singida amezikwa mchana huu inasemekana aliyewanunulia ponbe hizo mwigulu nchemba nae alikuwepo kutoa pole kwa kuwalewesha watu hao
naona umeingia na ID mpya! hizi damu ulianza kumwaga Igunga,Arumeru na sasa jimboni kwako zinakupagaisha?!
umeandika pumba!Angalia me nipo humu tangu lini na soma post zangu humu utagundua kuwa ulichokiandika hapo juu hakimake sense!
Na hili ndilo tatizo la baadhi ya wanachadema humu JF.Ni bora kukisaidia chama kivuke salama kutoka hapa badala ya kujifariji kwa ushabiki wa kipumbavu.Mambo sio mazuri tukisaidie chama chetu kitoke salama.
we,ndo unamatatizo huoni kesi za kutengeneza,cdm wanapambana na adui ccm+police
its even going to be harder to CCM .Soon CCM watajikuta wana kesi wrong nyingi against CDM, watajikuta shahidi za kipuuzi walizozitoa sasa hivi kwa haraka ya kuziba mapengo.Soon zitaanza ji- contradict hizi events.na itabidi kila mwana CCM ajitete roho yake mwenyewe.....
1.Katibu wake mkuu anakabiliwa na kesi aliyofunguliwa na Rose Kamili.
Kwamba anamuwekea pingamizi la ndoa iliyokuwa imetajwa kufanyika july 21 mwaka huu.Pamoja na mambo mengine Kamili anadai alipwe fedha za matunzo ya watoto.
Hali hii kwa katibu mkuu wa chama inamfanya kupoteza muda mwingi kudeal na kesi hiyo na chama kukabiliwa na wakati mgumu.Pia mahasimu wao wa kisiasa wanatumia mwanya huo kuwaharibia kuwa kuhusu uadilifu na hawafai kuongoza nchi......
Na hili ndilo tatizo la baadhi ya wanachadema humu JF.Ni bora kukisaidia chama kivuke salama kutoka hapa badala ya kujifariji kwa ushabiki wa kipumbavu.Mambo sio mazuri tukisaidie chama chetu kitoke salama.
With all due respect, Uwezo Tunao, I think the tittle of the post should be: Hard time for CCM and opportune time for CHADEMA!