Hard disk for sale

mojoki

JF-Expert Member
Oct 21, 2010
1,314
290
Bei 150,000
size 320GB
Muuzaji nipo dar
Mnunuzi ni PM nikuachie mzigo
 
Bei 150,000
size 320GB
Muuzaji nipo dar
Mnunuzi ni PM nikuachie mzigo

mkuu bei juu sana hzo vitu sikuizi zimeshuka sana kwa bei hyo ya laki na nusu mie nakupa 500GB na 750gb ,If interested call 0713388226
 
mkuu bei juu sana hzo vitu sikuizi zimeshuka sana kwa bei hyo ya laki na nusu mie nakupa 500GB na 750gb ,If interested call 0713388226

marty ngoja niuze hii nakuja nunua hiyo ya 750GB...
 
tizo hiyo laki unanipa au unanunua kwa Mrl Marty

nitanunua kwa mr marty.lakini ya kwako naitaja pia....kwa sasa naumwa sana nipo kwenye matibabu.nikisha pona nitakutafuta MUNGU akipenda.ila kama ukipata mteja we uza tu.Sasa nimeegemeza nguvu katika matibabu kwanza...SIKU NJEMA.
 
nitanunua kwa mr marty.lakini ya kwako naitaja pia....kwa sasa naumwa sana nipo kwenye matibabu.nikisha pona nitakutafuta MUNGU akipenda.ila kama ukipata mteja we uza tu.Sasa nimeegemeza nguvu katika matibabu kwanza...SIKU NJEMA.

pole sana mkuu....
 
Nyie hzo HDD za 1Tb mnazouziana laki5 ni external au internal, ni brand gani na specs zipi?!!!!!!!! maana hzi makitu zinauzwa laki na nusu!!!! Tueleimishane wakuu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom