Bei 150,000
size 320GB
Muuzaji nipo dar
Mnunuzi ni PM nikuachie mzigo
Bei 150,000
size 320GB
Muuzaji nipo dar
Mnunuzi ni PM nikuachie mzigo
mkuu bei juu sana hzo vitu sikuizi zimeshuka sana kwa bei hyo ya laki na nusu mie nakupa 500GB na 750gb ,If interested call 0713388226
mkuu naweza pata 500gb kwa 130000?
marty ngoja niuze hii nakuja nunua hiyo ya 750GB...
unapata
unapata
We mfanyabiashara mzuri sana, if you don't mind nidondoshee namba yako PM nikutafute nikija Dar.
nipo mkoani tabora.nitaipataje?ngoja niendele kutafuta mbinu ya kuipata.tuzidi kuwasiliana.
tizo hiyo laki unanipa au unanunua kwa Mrl Marty
nitanunua kwa mr marty.lakini ya kwako naitaja pia....kwa sasa naumwa sana nipo kwenye matibabu.nikisha pona nitakutafuta MUNGU akipenda.ila kama ukipata mteja we uza tu.Sasa nimeegemeza nguvu katika matibabu kwanza...SIKU NJEMA.
pole sana mkuu....