mashikolomageni
JF-Expert Member
- Jan 5, 2010
- 1,570
- 187
Kanisa moja liliendesha harambee ya ujenzi waumini wakachangia hela ilipohesabiwa ikapatikana laki saba na hamsini elf na mia tano hamsini. Wakati pastor anashukuru kwa matoleo majambazi yakaingia yakaanza kuwasachi waumini ikapatikana milioni kumi na sita..! Majambazi yakampatia pastor kama mchango wao! Je ungekuwa wewe ndo pastor ungeelewaje na ungefanyaje?