Askofu aliendesha harambee kuchangia ujenzi wa kanisa. Wakristo wakatoa Tshs. 75,050/= tu. Ghafla majambazi wakateka kanisa na kuamrisha kila mtu atoe alichonacho!!!
Majambazi wakakusanya Tshs.8,945,800/= cash, kisha wakamkabithi Askofu ili aendeleze ujenzi wa kanisa.
Je, majambazi wana dhambi au wakristo wanathawabu ??
Toa maoni yako......
Majambazi wakakusanya Tshs.8,945,800/= cash, kisha wakamkabithi Askofu ili aendeleze ujenzi wa kanisa.
Je, majambazi wana dhambi au wakristo wanathawabu ??
Toa maoni yako......