JoJiPoJi
JF-Expert Member
- Aug 8, 2009
- 2,907
- 3,261
Napenda kuchukua fursa hii, kutangaza nia ya kuandaa harambee ya kuchangia maendeleo katika jimbo la kilombero, Jimbo hili kwa muda mrefu limekuwa na bahati mbaya ya kupata viongozi ambao wana malengo ya dhati katika kuchangia kuleta maendeleo. Kwa hiyo wanakilombero ni jukumu letu sote katika kuhakikisha tunajitoa kwa hali na mali ili kufanikisha azma hiyo.
Ili kufanikisha azma hii naomba kupokea maoni, mawazo, mitazamo mbalimbali ili hatimaye tuweze kufikia malengo yetu ya kulifanya jimbo hili kuwa mfano.
Ili kufanikisha azma hii naomba kupokea maoni, mawazo, mitazamo mbalimbali ili hatimaye tuweze kufikia malengo yetu ya kulifanya jimbo hili kuwa mfano.