Wakuu nasikiliza Clouds FM arusha, nimesikia tangazo ambalo Mwenyekiti wa Chadema na Kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni Mh. Mbowe akiwakaribisha wafuasi wote wa chadema ktk harambee ya kuchangia chama ambayo itafanyika Naura Spring hotel tarehe 23/03/2012 kuanzia saa 1 jioni.Viva Chadema!
Aiseeee! nilidhani watafanyia Dodoma, Tanga, Rukwa, Shinyanga au Pwani kumbe ni kule kule Arusha!
Brother tunaendelea kuchanga, wacha wabeze kwani wao wanachukua za serikali. Wanatumia pesa za wizara wanazosimaia kufanyia kampeni. Hakuna lisilo na mwisho,tunao uchungu na nchi yetu mwisho haupo mbali.Hayo ni maeno wasiyo itakia meme chadema tafadhali changia ili uweze kukombolewa kama hutoweza kufika Naura tupia hata kwenye M_Pesa