Bambanza jr.
JF-Expert Member
- Aug 6, 2011
- 355
- 36
Jamvini nimefika kueleza yanayonisibu! Nimekuwa na mchumba wangu kwa miaka9 toka nasoma sekondari enz zile, tulikuwa tumepanga kuoana 2014 baada ya kueweka mambo sawa! Mwaka jana nilmtoa bikra() baada ya hapo ameniwekea ngumu hadi nimuoe, siku ya Wanawake duniani alinitumia ujumbe "wanawake tunaweza hata tusipowezeshwa, taasisi ya ndoa na sheria kandamizi zisitumike kumnyanyasa mwanamke...!" sikumjibu then akanitumia "harakati zimeanza, plz usiniambie tena maswala ya k*.f.n* mpaka unioe, ukiwa unahitaji ng*n* tafuta mwanamke mwingine...." nimeingia kwenye utata kwan hata nikisubiri je kwa harakati hizi kwenye ndoa itakuaje?