Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,320
- 6,806
Nilikuwa nafuatilia matangazo ya TBC1 Jumamosi jioni tarehe 20 Mwezi huu, nikaona mahojiano kati ya mtangazaji wa TBC1 na miss Tanzania wa zamani na mwanamitindo Happyness Magesse yaliyofanyika huko Afrika ya kusini.
Jambo moja lilinishangaza, kila mtangazaji alipokuwa akimuuliza kitu (kwatumia lugha yetu ya taifa), basi Happyness alikuwa anajibu kwa
ung'eng'e wa hali ya juu! ikawa kama kituko hivi, ........
Mfano;
Swali..."Hebbu tuambie, nimafanikio gani umepata toka ulipojiunga na fani hii......"?
Happyness..." You know, if your talented and you want to succeed, yuo "kudu, kudu, kudu be zis o zat.........."
Ilikuwa hivyo kipindi kizima!!
Sasa hapa nauliza jamani, dada yetu huyu kiswahili hajui? au amekisahau baada ya kukaa sana 'Sauzzi'! Au toka alipokuwa huku alikuwa hakijui amezaliwa nje ya bongo!?
Ninini hiki??
Jambo moja lilinishangaza, kila mtangazaji alipokuwa akimuuliza kitu (kwatumia lugha yetu ya taifa), basi Happyness alikuwa anajibu kwa
ung'eng'e wa hali ya juu! ikawa kama kituko hivi, ........
Mfano;
Swali..."Hebbu tuambie, nimafanikio gani umepata toka ulipojiunga na fani hii......"?
Happyness..." You know, if your talented and you want to succeed, yuo "kudu, kudu, kudu be zis o zat.........."
Ilikuwa hivyo kipindi kizima!!
Sasa hapa nauliza jamani, dada yetu huyu kiswahili hajui? au amekisahau baada ya kukaa sana 'Sauzzi'! Au toka alipokuwa huku alikuwa hakijui amezaliwa nje ya bongo!?
Ninini hiki??