Mzalendo wa TZ
Member
- Sep 2, 2012
- 48
- 7
Siku moja usiku jamaa mmoja na mkewe wakati wakiwa ndani wamepumzika walisikia nyumbani kwa jirani yao wanaimba wimbo na maongezi yao yakaanza kama ifuatavyo;
Mke:Mme wangu,kuna nini kwa majirani zetu?
Mme:Kunna birthday.
Mke:Ya nani?
Mme:Itakuwa ya TUYU.
Mke:TUYU!!!!!! ndo nani?
Mme:Mi mwenyewe simjui ila nasikia wanamwimbia
"Happy birthday TUYU!!!!,Happy birthday TUYU!!!"
Mke:Mme wangu,kuna nini kwa majirani zetu?
Mme:Kunna birthday.
Mke:Ya nani?
Mme:Itakuwa ya TUYU.
Mke:TUYU!!!!!! ndo nani?
Mme:Mi mwenyewe simjui ila nasikia wanamwimbia
"Happy birthday TUYU!!!!,Happy birthday TUYU!!!"