Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,551
- 1,159
Thanx SI. Na una bahati umeomba msamaha ningekununia mwaka mzima,lol
Asate SI.
Happy women's Day kwa akina mama wote!
Thanx SI. Na una bahati umeomba msamaha ningekununia mwaka mzima,lol
Happy Women's day
whatever.....namuunga mkono NN....I love my woman everyday....kila kinachosisitizwa kwen hii siku, naamini nafanya. Everyday. sasa mi naona ni nafasi tena ya posho, makongamano, warsha, semina na mwisho wa siku, molestation of the woman's dignity....
Usinune siku kama ya leo Kabby.
hehehe sinuni tena kaizer,umeamkaje lakini?
NN Mkuu, hii wala sio dhana bali ndio ukweli. Hujawahi kuona Siku ya Mei Dei ambapo "viongozi wote wa kitaifa: kuanzia raisi hadi diwani" wanaelekea mkoa mmoja kwenda kumkabidhi "Mfanyakazi bora" shilingi laki mbili?Lazima kuna watu wananufaika kifedha!
weee mimi nasomaga alama za nyakati sanaThanx SI. Na una bahati umeomba msamaha ningekununia mwaka mzima,lol
natambua sana tu na kuheshimuShukran sana SI kwa kutambua uwepo wetu akina mama, Happy Women's Day kwa akina mama wote!