katika mkutano wa wadau wa siasa, biashara,technology ulifanyikaTED BILIONEA BILL GATES(MICROSOFT) Aliingia ukumbini humu na bakulli lilijaa mbu na kuwaachia ukumbuni humu kama ishara ya kupambana na malaria duniani hasa nchi zinazoendelea.
Ila mbu wenyewe walikuwa hawana vinasaba vinavyosababisha malaria.
aliwashauri matajiri duniani kuacha kutumia fedha nyingi kutafuta dawa ya kuondoa upara baadala yake nguvu nyingi ilielekezwa kuutokomeza ugonjwa huu hatari wa malaria.
Tayari wanayansi duniani wamegundua vinasaba vinavyosababisha wadudu wa malaria wawe sugu kwa baadhi ta dawa za malaria.
Vya kujivunia ni vingi sana Afrika, Maliasili ni kimojawapo na rushwa ila kwa upande mbaya wa kurudisha maendeleo nyuma.
Naamini hata hizi blog tumeiga kwa wadhungu. Sisi wengine familia zetu zimechanganyika na matabaka mbalimbali kwahiyo ni kawaida kujua aah leo ni birthday, valentine, anniversary, thanx giving na boxing day. Ni part of life.
Enjoy ur sat!
Happy valentine too! lets use the season positvely to strenghten our love! Just for one day......show him/her/they that u truely love n most of u care! happy valentene!!!!!!!
Avunja ndoa ya mkuu wa wilaya kwa kufanya mapenzi na mkewe
Anafanya urafiki na mwenye mke kisha anamgeuzia kibao
Source: Taifa Letu
Mbunge wa ukoba vijijini ccm MH NAZIR KARAMAGI anatuhumiwa kudandia wake za watu baada ya kukimbiwa na mkewe mrusi imedhihirika wazi kwa kuvunja ndoa ya mkuu wa wilaya moja ya mkoani kigoma,habari zilizotufikia zimeeleza kwa muda mrefu mh karamagi amekuwa na tabia ya kudandia wake za watu hasa kwa kutumia pesa aliokuwa nayo na hasa kwa kutumia chambo cha ajira katika kampuni zake mbalimbali ikiwamo ile ya kuondoa makontena TICTS.
Kwa mujibu wa habari hizo mh Karamagi anaelezwa ni mmoja wa vigogo wanaodaiwa kuwa vicheche na walafi ambao wamekuwa wakidandia wake za watu baadhi wakiwa ni wale anaowasaidia ama kuwa karibu na waume zao.
Mfano hali ni tukio la karibuni ambalo karamagi anahusishwa nalo ni lile la kuharibu ndoa ya mkuu wa wilaya kijana kwa kumrubuni mke wa kijana huyo kwa kumpa kazi TICTS
::"""HUYO MZEE(KARAMAGI) NI MLAFI MKUBWA WA WAKE ZA WATU alimpenda huyo binti so what he did akaamua kumpa kazi TICTS then akampa custody tour abroad,nyumba fulfurnished iliandaliwa ili afikie apo anaeleza mdogo wa mke wa dada huyo..inaelezwa mipando ilisukwa wakati mke huyo wqa mkuu wa wilaya anatoka safari lakini bahati mbaya zilivuja kwa mumewe kuhusu tarehe ya kurudina yeye kuamini mkewe alitaka kumshtukiza suprise,
Mashuhuda wanasema kwamba siku ya kuwasili mwanamke huyo karamagi alikuwepouwanja wa ndege sambamba na mumewe na kumlazimu mke huyo wa mkuu wa wilaya kubabaika na hivyo kulazimisha kwenda kwa mumewe alipokaa.
Hata hivyo hbari zikaeleza kwambafamilia ya kigogo mwingine ilitumika kumtoa mke huyo alikopelekwa na mumewe kwa kisingizio cha kuwa na mahusiano ya kindugu na badaye mwanamke huyo alichukuliwa na Karamagi.
Kwa mujibu wa mfanyakazi mmoja wa TICTS karamagi alifanikisha safari za uingereza kwa kisingizio cha kwenda kusoma lakini wakiwa wanakutana kwa mambo yao binafsi kwa nyakati tofauti.
Habari zaidi zinasema Mh. Karamagi anaendelea kula vya ofisini kwake baada ya kuamua kumrukia mwanamke mmoja wa kizungu anaefanya kazi kwenye kampuni yake ya kukopesha pale mbele ya BRITISH council.
swali je karamagi anaendelea na huyo kicheche???
je mumewe ameshaoa??
je alikuwemo katika list ya wabunge kupima ngoma??
je kwa style hii ya CCM wabunge na wakuu wa wilaya wangapi watakufa na
""""""""""UKIMWI"""""""""""""""""
JE NI WABUNGE WANGAPI WANASAMBAZA UKIMWI KWA DIZAINI YA KARAMAGI
KUNA UMUHIMU WA KUENDELEA KUPIGA KELELE YA UKIMWI BUNGENI WAKATI WAHUSIKA WANADIRIKI KULA WAKE ZA VIONGOZI WENZAO?????
Mama mia niliwahi kukuuliza kama umeolewa au la na una experiance gani katika ndoa
shy nimeolewa nikakaa mwaka mmoja nikakimbia nyumba maisha ya mume wangu mnayajua wanaume......ujumla yalinishinda hivi sasa niko na mchumba wangu tunatarajia ndoa punde na wewe shy??
Aha kumbe you wont be lonely tonight ukishapata huyo love of ur life ? Mimi bado nipo nipo ----- nilifikiri naweza kukualika katika blue light wakati wa valentine sehemu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.