Happy mothers day..... Do we appreciate our mothers???

SMU...umenigusa sana hapo, kila cku najutiaga kiac nilivyomsumbua mama, nilimsumbua vya kutosha jamani, alinicmamia kidete bila yeye cjui nyamayao angekuwa mtu wa namna gani, asante sana mama kwa kunipigania, huwa nikikumbuka nackitika sana sana.


Happy Mothers day Nyamayao..

Ukitaka kujua cha ajabu, ni kua wewe saizi unakumbuka na kuumia cause umekua and sasa unaona.. But bahati nzuri akina mama Mungu kawaumba na ustahimilivu wa ajabu; Ndio anaumia juu yako mpaka mwingine hadi pressure zaweza panda but hatakata tamaa juu yako mpaka unarudi katika mstari unaoeleweka (ingawa wengine inashindikana). Mungu akija jaalia upate mtoto then you will understand kua she understood you. Kuna msemo napenda unaenda;

"We forgive the ones we don't love for those we deeply love we don't even get angry at - no matter what they do..."

 
Mother love is the fuel that enables a normal human being to do the impossible. ~Marion C. Garretty, quoted in A Little Spoonful of Chicken Soup for the Mother's Soul

THERE IS APOWER IN MOTHERS TO PROTECT LIFE!!

Nakumbuka siku moja nikiwa Morogoro (nimechoka na mwili unahoma) nasubiri basi,nikitokea Dodoma nikielekea Mbeya, nilimwona mama mmoja pale stendi ya Msamvu yuko na rambo yake ameshindilia nguo na vingine humo pamoja na mtoto wake mkononi akiwa analia. yule mama alikuwa akihangaika sana kumnyamazisha. Punde nikamwona anakwenda okota ndizi iliyotupwa na abiria aliyekuwa ndani ya basi linaloondoka la Abood. aliirudi upesi kwenye rambo yake akatoa kijiko na kuanza kuiparua ile ndizi kwa nje kisha akampa mwanae. yule mtoto (umri wake ni chini ya mwaka) aliifukamia kwa nguvu sana. Jambo lile lilinishitua mno, Nikakumbuka, nalikuwa mtoto kwa mama. nikajiuliza hivi mama yangu nikiwa na umri kama huo alipitia maisha yanayofanana na hayo? ghafla, machozi yalianza kunitoka. Kwakuwa nilikuwa nimekaa chini tena nimejikunyata, nilipokuwa nafuta machozi hakuna aliyejua. nikiisha jifuta hayo machozi nilikwenda kwa huyo mama kumuliza kulikoni. akanijulisha kuwa kafukuzwa na mumewe walikuwa wanaishi "Kihonda" siku ya nne sasa analala nje ya nyumba. Sasa ameonelea bora arudi nyumbani Iringa lakini hana pesa yoyote. Tuliingia kwenye vihoteli vya pale pembeni nikamnunulia chakula chake na mwanae. Yule mama hakutaka vyakula vije sambamba, aliomba kije cha mwanae kwanza akamlisha. Kilipokuja chake mtoto akadandia kidogo tu kisha akakataa. Ndipo mama akala. Muda si mrefu mtoto akalala.

Nikamwambia nitamlipia nauli, lilipokuja HOOD tukapanda naye, alishuka Ipogolo. Ni mengi yalitukia tukiwa ndani ya basi, mpaka kuachiwa kiti kizima (seat ya watu 2) akae peke. Kiti hicho awali aliachiwa na mzee mmoja kwa kumwonea huruma kusimama wakati safari bado ndefu na yeye ana mtoto. sasa jirani alikuwa alikaa binti mwanafunzi wa Chuo cha Uhasibu-Mbeya wing. Kwasababu ya harufu ya mkojo wa yule mtoto, binti aliamua kumwachia siti na kusema yule mama ni mchafu hajui hata kumtunza mtoto. Kama ni kusemwa laisemwa sana huyo binti na abiria kutokana na kitendo chake hicho na kauli yake. na hata alishuka yule mama, kijana mmoja alikalia siti ya huyo binti hakumpisha hadi Mafinga. Mengi ya kujifunza kuthamini nguvu ya mama nilijifunza katika safari hiyo.


Huyu ni mama aliyekubali kutukanwa, kudharauliwa, kuonekana kama kichaa, nk lakini alipigana kutunza uhai wa mtoto wake. Hakusema huu ni mzigo kisha akamtupa kama kifurushi ili yeye awe huru. Alipambana. Wakina mama mnapambana kwa mengi mkitunza uhai wa watoto wenu na pia ili kuona watoto wenu wanafika mahali fulani bora.

Hatuwezi walipa chochote zaidi ya kusema asante na kuwaletea heshima, ya kwamba mnapotembea watu na waseme yule ni mama yake na fulani (mtu ambaye katika jamii anaheshimiwa) na wala si mama yake na fulani(mtu ambaye katika jamii anadharauliwa kutokana na tabia yake mbaya)
 
Who fed me from her gentle breast
And hushed me in her arms to rest,
And on my cheek sweet kisses prest?
My Mother.

Who ran to help me when I fell,
And would some pretty story tell,
Or kiss the place to make it well?
My mother.
~Ann Taylor
 
I am proud to be a mother! Glory to God.

Happy Mother's day to you all my JF friends! God bless you abundantly!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
That z a gud sms from ur son, gues what i copied n send it to my mom... Japo yupo mbali but i still feel like she is around here wit me.
HAPPY MOTHER'S DAY.
 
Mother love is the fuel that enables a normal human being to do the impossible. ~Marion C. Garretty, quoted in A Little Spoonful of Chicken Soup for the Mother's Soul

THERE IS APOWER IN MOTHERS TO PROTECT LIFE!!

Nakumbuka siku moja nikiwa Morogoro (nimechoka na mwili unahoma) nasubiri basi,nikitokea Dodoma nikielekea Mbeya, nilimwona mama mmoja pale stendi ya Msamvu yuko na rambo yake ameshindilia nguo na vingine humo pamoja na mtoto wake mkononi akiwa analia. yule mama alikuwa akihangaika sana kumnyamazisha. Punde nikamwona anakwenda okota ndizi iliyotupwa na abiria aliyekuwa ndani ya basi linaloondoka la Abood. aliirudi upesi kwenye rambo yake akatoa kijiko na kuanza kuiparua ile ndizi kwa nje kisha akampa mwanae. yule mtoto (umri wake ni chini ya mwaka) aliifukamia kwa nguvu sana. Jambo lile lilinishitua mno, Nikakumbuka, nalikuwa mtoto kwa mama. nikajiuliza hivi mama yangu nikiwa na umri kama huo alipitia maisha yanayofanana na hayo? ghafla, machozi yalianza kunitoka. Kwakuwa nilikuwa nimekaa chini tena nimejikunyata, nilipokuwa nafuta machozi hakuna aliyejua. nikiisha jifuta hayo machozi nilikwenda kwa huyo mama kumuliza kulikoni. akanijulisha kuwa kafukuzwa na mumewe walikuwa wanaishi "Kihonda" siku ya nne sasa analala nje ya nyumba. Sasa ameonelea bora arudi nyumbani Iringa lakini hana pesa yoyote. Tuliingia kwenye vihoteli vya pale pembeni nikamnunulia chakula chake na mwanae. Yule mama hakutaka vyakula vije sambamba, aliomba kije cha mwanae kwanza akamlisha. Kilipokuja chake mtoto akadandia kidogo tu kisha akakataa. Ndipo mama akala. Muda si mrefu mtoto akalala.


Mnyamahodzo You have touched my soul .... Thank you for sharing this heartbreaking story, it means so much to me for am very interested in women in such situations... And I thank God (and you should too) for giving you a sensitive and kind heart... Viva Mothers - Viva Forever...

 
Who fed me from her gentle breast
And hushed me in her arms to rest,
And on my cheek sweet kisses prest?
My Mother.

Who ran to help me when I fell,
And would some pretty story tell,
Or kiss the place to make it well?
My mother.
~Ann Taylor



Again thank you.....
 
Asha D.
Unastshili pongezi kwa kufungua hii thread tamu!
Natamani kusema mengi sana juu ya kinamama,
Ila ni ukweli usiopingika, maneno hayatoshelezi!
Pia Mama ana nafasi ya peke katika Moyo wangu.
 
I am proud to be a mother! Glory to God.

Happy Mother's day to you all my JF friends! God bless you abundantly!



KH a proud mother hakuna ninachoweza ongeza uwe prouder ... Hongera dear... All the best and regards to your child(ren)
 
Asha D.
Unastshili pongezi kwa kufungua hii thread tamu!
Natamani kusema mengi sana juu ya kinamama,
Ila ni ukweli usiopingika, maneno hayatoshelezi!
Pia Mama ana nafasi ya peke katika Moyo wangu.


JouneGwalu you as a guy and admitting that in conjuction with maneno mazuri ya kumuenzi MAMA..... am proud of you. On behalf of all the MOMs THANK YOU....

 
Hakuna kama mama. Tunashukuru sana kwamba mungu anazidi kutulinda, kikubwa ni kutupa hekima ya kuongoza familia zetu katika misingi ya upendo, uvumilivu, kusameheana kwa kila jambo. Hakuna mtu aliyekamilika kila mtu ana mapungufu yake.

Baba, kaka, waume zetu, zidini kutupenda, kutuongoza kwa kujua kwamba mko kwenye mikono salama iliyobarikiwa. Kuweni na huruma na sisi mama/dada/wake zenu. Shukuruni kwa kila jambo tukiomba hekima kutoka kwa mwenyezi mungu.

Nawatakia kila la kheri, nikiamini kwamba hakuna lisilowezekana kwake.
 
Hakuna kama mama. Tunashukuru sana kwamba mungu anazidi kutulinda, kikubwa ni kutupa hekima ya kuongoza familia zetu katika misingi ya upendo, uvumilivu, kusameheana kwa kila jambo. Hakuna mtu aliyekamilika kila mtu ana mapungufu yake.
Baba, kaka, waume zetu, zidini kutupenda, kutuongoza kwa kujua kwamba mko kwenye mikono salama iliyobarikiwa. Kuweni na huruma na sisi mama/dada/wake zenu. Shukuruni kwa kila jambo tukiomba hekima kutoka kwa mwenyezi mungu.
Nawatakia kila la kheri, nikiamini kwamba hakuna lisilowezekana kwake.


Caroline Danzi hua nakutafuta saana.... mana wewe hugusa na kutoka...

Am so proud leo nimekupata hapa na wote tuko katika njia moja ya makubaliano kua hakuna kama mama na kua akina baba/kaka wawe na huruma nasisi. Natumai leo siku ilikua nzuri na umefurahia kuwa mama ukiwa na wanao uwapendao..... Tunashukuru kwa maombi yako na Mwenyezi Mungu akujalie wewe pia pamoja na familia yako. Happy Mother Day....
 
Happy Mothers day mama wote na asanteni sana kwa malezi yenu kwa watoto wetu na upendo wenu.

Kwa single mums yeyote yule, endelea uvumilivu na mungu awape nguvu za kumudu majukumu yote mlioachiwa.

Nawapenda wote.
 
Happy Mothers day mama wote na asanteni sana kwa malezi yenu kwa watoto wetu na upendo wenu.
Kwa single mums yeyote yule, endelea uvumilivu na mungu awape nguvu za kumudu majukumu yote mlioachiwa.
Nawapenda wote.


Arsene Wenger asante sana kwa maneno yako ambayo yako so inspiring... On behalf of the Moms and all the Single Moms...THANK YOU...
 
Back
Top Bottom