AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,078
Tarehe ya leo (8/May) ni tarehe ambao ni siku ya akina mama duniani (si inchi zote) uhitimishwa. Mama amekua akisifiwa kwa malezi yake mazuri juu ya mwanae ikiaminika kua hufanya lolote lile bila kujali yeye personaly laweza kumdhuru namna gani. Ingawa inaonekana idadi ya akina mama wasiofaa katika jamii inakua; bado nafasi yake ni kubwa hivyo kutambulika na kukubalika. Nikitaka niorodheshe nafasi na vitu ambavyo mama zetu wamefanya juu yetu na ambavyo pengine ni vigumu kwa yoyote kukufanyia, nitachukua siku nzima.
Bahati nzuri ni wengi ambao wamejaliwa kulelewa na mama zao na kupata experience za utamu wa mapenzi ya mama directly. Kuna wale ambao hawajajaliwa kulelewa na mama yao kwa sababu nyingi na tofauti hivyo kukosa hiyo bahati ya kupata Mapenzi ya mama moja kwa moja (my heart goes to all who have never met their mothers or lost them too young).
Hivyo basi kwa kutimiza na kuhitimisha siku hii kubwa ya MOTHERS DAY naomba tuendelee kukubushana marafiki, ndugu na jamaa kua tuna haki ya kuwapongeza all the mothers popote walipo. Kupongeza si lazima awe mama yako tu mpongeze mama yoyote Yule ambae yuko responsible kwa watoto wake for The idea of celebrating Mother's Day the world over is to pay tribute to mothers for all their love and support and to make them feel special.
Kwa JF members woote ambao ni MOTHERS, najua kua kweli ni kazi ngumu mno kua a good MOM mkitegemea sana kulea kwa kutumia instincts; kikubwa inatakiwa ujue if you are trying your level best on your kid, then you are a good MOM
I dedicate the song A Song for Mama by Boyz II Men to all the MAMAS out there
N;B Leo ndo ile nafasi ya kusema siku zote uko busy, walau mtembelee, una uwezo mnunulie zawadi, umeshindwa mpigie simu na umwambie kua unampenda and you are proud of her....
Bahati nzuri ni wengi ambao wamejaliwa kulelewa na mama zao na kupata experience za utamu wa mapenzi ya mama directly. Kuna wale ambao hawajajaliwa kulelewa na mama yao kwa sababu nyingi na tofauti hivyo kukosa hiyo bahati ya kupata Mapenzi ya mama moja kwa moja (my heart goes to all who have never met their mothers or lost them too young).
Hivyo basi kwa kutimiza na kuhitimisha siku hii kubwa ya MOTHERS DAY naomba tuendelee kukubushana marafiki, ndugu na jamaa kua tuna haki ya kuwapongeza all the mothers popote walipo. Kupongeza si lazima awe mama yako tu mpongeze mama yoyote Yule ambae yuko responsible kwa watoto wake for The idea of celebrating Mother's Day the world over is to pay tribute to mothers for all their love and support and to make them feel special.
Kwa JF members woote ambao ni MOTHERS, najua kua kweli ni kazi ngumu mno kua a good MOM mkitegemea sana kulea kwa kutumia instincts; kikubwa inatakiwa ujue if you are trying your level best on your kid, then you are a good MOM
I dedicate the song A Song for Mama by Boyz II Men to all the MAMAS out there
N;B Leo ndo ile nafasi ya kusema siku zote uko busy, walau mtembelee, una uwezo mnunulie zawadi, umeshindwa mpigie simu na umwambie kua unampenda and you are proud of her....