binamu inaongekana una hangover ,sijui msaada gani unahitajika?
Binamu inaongekana una hangover ,sijui msaada gani unahitajika?
Orait, Twende lab mara moja basi njoo na vitendea kazi kabisa
Ooohh mie chitaki bana nitakuchemea kwa baba
Achana naye huyo ameishazeeka hata haoni
Natoa mikopo 50% Riba
wote mnakaribishwa :coffee::coffee::coffee:
Babu is Watching Karibu sana
Huyu mkoloni wangu vipi anajifanya leo ndiyo yuko busy na mimi sijui hajaona siku nyingine kwenye wiki yeye anaamua leo ndio awe busy na mimi
Ndugu yangu wa ukweli unanitenga sana....au Mvinyo mpya ndio sababu??tobaaaa.unaongeza maumivu.....
Babu anatembelea mkongojo halafu umepinda, babu ni joka la kibisa
hahaha kama ulikuwa umesahau lazima kuna tatizo
hangover or?
Abiria chunga mzigo wako
Vibabu vinajua kutunza wewe
Mzigo gani hauchungwi Jumatatu unachungwa Ijumaa
Asante, but NO THANKS hii Ijumaaa imenikalia vibaya kabisa.......daaaaamn
TGIF anyways
Kuna mtu kanionea Smiles?:coffee:
habari zenu wajameni...
mi si n'kajua jana ijumaa bana....
nilijitundikiaje madrip sasa......!we!we!
Ha ha ha hawa nawaogopa bana IGWEEEEE,MY SISTO OFUNEKKA ABEGGO PAPA HAS NO MONI IS IN LAGOS