Elia
JF-Expert Member
- Dec 30, 2009
- 3,425
- 567
Habari wana JF
Leo 31 /12 / 2010, natimiza mwaka mmoja tangu nijiunge na jamii I am happy to be part of this family.
HISTORY:
Hakuna mtu aliyenishauri/nishawishi nijiunge na hii familia. Nilikua nje ya TZ nikapata taarifa za mchezaji wa soka mwenye asili ya home(Tz) kasajiliwa Chelsea fc (timu ya wadogo). Nikamtafuta kupitia Google search, among results nilizopata ilikua ina link na jamii forum, it was very useful kwangu. Nilipata zaidi ya nilichokuwa natafuta. Then nikaendelea kutembelea hii forum mara kwa mara kama guest nikawa na enjoy a lot, In fact I found it it very useful. Then Nikajiunga rasmi hiyo tarehe nikitegemea kupata uhondo zaidi. Nilikuwa napendelea zaidi sports, vituko vya mastaa wa kibongo, jokes, photos, kidogo nikawa naingia kwenye siasa hasa kuelekea uchaguzi 2010.
FAIDA NILIZOPATA
1. Nimepata misaada ya kiushauri mingi kupitia kwenye post zangu chache na nyingi za wanachama wengine zilizo kuwa zina reflect direct kwa yanayo/yaliyo nikuta au jamii inayo nizunguka kwa ujumla.
2. Nimekua nikipata current information za Bongo hata nikiwa mbali na home sweet home (Tz)
3. Nimepata marafiki wengi ndani ya JF ambao mmekua hamsiti kushauri, kukosoa, kuelimisha, kujenga hoja na kuburudisha You are real true friends.
MAPUNGUFU:
1. Toka nijiunge kwa miezi takriban 6-7 Sikuwa mwanachama active sana, in term of kuchangia hoja mbalimbali mpaka baada ya 30/08. kwa hilo nina deni kubwa kwa JF (nadaiwa)
2. Sijaifanyia JF kitu chochote cha maana na hili ni deni la pili
SHUKURANI:
1. Moderators for all, particularly on my 30/08 Birthday
2. All JF members
MWISHO:
Haya niliyo andika ni ufupisho wa risala yangu kwa siku hii ya kuzaliwa ndani ya JF. Najua kuna mengi nimeyaacha naomba mnikumbushe, ongezee na kunisamehe nilipokosea . 2011 nategemea nitaboresha kiwango .
HAPPY NEW YEAR -2011
Leo 31 /12 / 2010, natimiza mwaka mmoja tangu nijiunge na jamii I am happy to be part of this family.
HISTORY:
Hakuna mtu aliyenishauri/nishawishi nijiunge na hii familia. Nilikua nje ya TZ nikapata taarifa za mchezaji wa soka mwenye asili ya home(Tz) kasajiliwa Chelsea fc (timu ya wadogo). Nikamtafuta kupitia Google search, among results nilizopata ilikua ina link na jamii forum, it was very useful kwangu. Nilipata zaidi ya nilichokuwa natafuta. Then nikaendelea kutembelea hii forum mara kwa mara kama guest nikawa na enjoy a lot, In fact I found it it very useful. Then Nikajiunga rasmi hiyo tarehe nikitegemea kupata uhondo zaidi. Nilikuwa napendelea zaidi sports, vituko vya mastaa wa kibongo, jokes, photos, kidogo nikawa naingia kwenye siasa hasa kuelekea uchaguzi 2010.
FAIDA NILIZOPATA
1. Nimepata misaada ya kiushauri mingi kupitia kwenye post zangu chache na nyingi za wanachama wengine zilizo kuwa zina reflect direct kwa yanayo/yaliyo nikuta au jamii inayo nizunguka kwa ujumla.
2. Nimekua nikipata current information za Bongo hata nikiwa mbali na home sweet home (Tz)
3. Nimepata marafiki wengi ndani ya JF ambao mmekua hamsiti kushauri, kukosoa, kuelimisha, kujenga hoja na kuburudisha You are real true friends.
MAPUNGUFU:
1. Toka nijiunge kwa miezi takriban 6-7 Sikuwa mwanachama active sana, in term of kuchangia hoja mbalimbali mpaka baada ya 30/08. kwa hilo nina deni kubwa kwa JF (nadaiwa)
2. Sijaifanyia JF kitu chochote cha maana na hili ni deni la pili
SHUKURANI:
1. Moderators for all, particularly on my 30/08 Birthday
2. All JF members
MWISHO:
Haya niliyo andika ni ufupisho wa risala yangu kwa siku hii ya kuzaliwa ndani ya JF. Najua kuna mengi nimeyaacha naomba mnikumbushe, ongezee na kunisamehe nilipokosea . 2011 nategemea nitaboresha kiwango .
HAPPY NEW YEAR -2011