Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,228
Jamaa ilikuwa ni siku ya birthday yake, akashangaa mke wake na watoto wake hawamwambii happy birthday, akaenda kazini akashangaa hata wafanyakazi wake hawamwambii happy birthday, akaamua kuingia ofisini kwake, mara akashangaa sekretari akimwambia happy birthday huku akitabasamu, jaamaa akafurahi, sekretari akamwalika jamaa nyumbani kwake kwa lunch huku wakiongea maneno ya mapenzi, walipofika kwa sekretari walikumbatiana kidogo, mara sekretari akapunguza nguo zake na kumletea keki, Sekretari akamwambia jamaa naenda chumbani nivue baadhi ya nguo kabla hatujaanza kula keki, jamaa alipoona sekretari kaingia chumbani kupunguza nguo yeye akavua zake fasta fasra na kubaki uchi ili mambo yawe marahisi .... mara akashangaa sekretari na mke wake, watoto wanatoka chumbani wakisema supriseeeeeeeee, happybirthday halafu ye yupo uchi.