Michael Amon
JF-Expert Member
- Dec 22, 2008
- 8,775
- 3,610
happy birthday mkuu. mia
mzee wa mia upo? bahati mbaya leo hamna pombe leo ni mwendo wa azam cola tu.
happy birthday mkuu. mia
Nishaona dalili za kuanza kupaishana uongo hapa! wewe Blaki Womani hivi Mr Rocky anaependa maisha yaliorahisishwa kweli anachanja kuni au katumwa tu alete gas hapa? hahaha!
Happybirthday Young Master, sweetlady nilitaka kitengo cha keki. Safari hii ningeonja kidogo kidogo isiishe.
Samahani Kaizer niliogopa kukuambia, juzi nilipokuwa napiga nguo pasi niliiunguza sana hiyo kanzu maana nilikuwa na mawazo nikaisahau pasi juu ya nguo. Labda ungechagua tu nguo nyingine maana mie sijui mambo ya kukupangia nguo ya kuvaa kama alivyokuzoeza AshaDii.
Duh! Nisije nikasahau, hepi bilated wesdei Young Master :A S-baby:
:baby::baby:arty:arty::clap2:
Ha ha haaaa!!! Ndio umenitukana au?
Kwa sharti gani mkuu? Wasilisha mchango wako kwa sweetlady ila vigezo na masharti kuzingatiwa.
Sijakutukana jamani, mbona nimesema hepi wesdei? Nilichelewa kuitoa. Kwani inatamkwaje? Mie ile lugha chingreza huwa siiwezi kama sijanywa mayai.
Hehehehe Young Master usinichekeshe mie platozoom anajulikana siku zote kuwa ni mzamiaji wa shughuli za watu sasa huo mchango atautoa wapi?
Hana sifa za kufadhiliwa:israel:
Hahahaha nishaamka wifi.....duuuh ila nahisi kwenye keki kuliwekwa magadi hahaha manake haiwezekani nivimbiwe kiasi kile!......hivi mtoto Young Master ameamka kweli?.
loooo wifi uroho umekuzidi ulibugia sana......anasubiri abadilishwe pampasi na mwaJ