Superman
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 5,695
- 1,696
Babu yangu Bigirita
Ninatumaini u mzima na MUNGU atakujalia uuone mwaka 2011 kwa amani, upendo na Rehema zake. Nina amini kabisa kuwa Mama yetu si kati ya wale waliosahau birthdate za watoto wao na the only tarehe wanayokumbuka ni ile ya kupata kipaimara kwa kuwa kuna ile tour...nyumba kwa nyumba...
Bigirita...........UBARIKIWE SANA
Happy Birthday Bro/Babu
Happy Birthday Bigirita.
Tunakuombea uishi zaidi ya miaka 100 ukiwa na afya njema.