Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,356
Chairman popote pale ulipo naomba uihifadhi hii sentensi hapa kwa ajili ya matumizi ya baadae.kama ile ya jana ilikua kusukutua,basi naomba poo! inabidi kubadilisha definition ya 'ulevi', manake wapo wanyao vilevi na hawalewi. kama hujaelewa mazoezi ya kung fu moves yanaashiria nini,bora leo uage unaenda kwa bibi yao matesha afu urudi kesho na ka-stout. wafwaaa!
Usirudie tena!God Forbid!!! Basi nilikua natania....
Hujajua? Ngoja nimwite hommie aje akufafanulie......yaaallah! uanachama wa nini tena? ashadii njoo kwanza unitetee manake nahisi hapa nachafuliwa cv!
Oupos! Done!hoto: Kadi ya uanachama namba 32.