Blaki Womani
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 11,229
- 13,431
angalieni msigawe sevieti zetu kwa matajir maana nikwenda Moshi nikamkuta jamaa mmoja kaanda sherehe akaja Tajiri mmoja namhifadhi akaomba jamaa anaesimamia sherehe..jamani ni kweli na uwazi akaomba maji yatakayonawiwa atawapa laki moja
na akaomba sevieti wanazopangusa baada ya kula nazo akatoa laki moja nikashangaa kuna pipa limewekwa kuna mtu akaanza kukusanya seviieti mwaya nikamwambia Mungu na isiwe yanguu in jesus name..so muwe makini mkiona wanaojifanya kukusanya maji na sevieti shetan hao
haya hayafanyiki kwenye birthday yetu ni huko huko mochi
lakini mmmmmmhhh ya kweli haya niliwahi sikia hii habari :juggle: