Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,955
- 22,135
Wapendwa si haba kumshukuru Mungu kwa uweza wake wa ajabu kwa kutfikisha hapa tulipo.
Pili napenda nimshukuru Mungu kwa kunizalia mama mkwe ambae bila kujua akanizalia mwanae ambae leo hii namwita mke/hny/sweet/baby/nk.
Ntakuwa si mchoyo wa mawazo kwa kumpongeza babamkwe na wazazi wangu wote waliomkubali mke wangu kwa hali na mali na awali ya yote apo juu.
Nakushukuru RASMI Mpenzi wangu agatha kwa kunikubali nikiwa sina kitu leo tunafurahia matunda ya uvumilivu wetu tukiwa kwetu na mwana wetu mbezi beach...Mungu akupe nguvu ya kunikubali kama nilivyo natumaini nyuma aturudi tena tunasonga mbele.
Sijawaacha wapendwa wangu wa JFkwa upande wenu mmekuwa wema kwa ushauri na mawazo mazuri ya kufurahisha na kujikuza familia tumekuwa tukiangalia pamoja nyumbani pande ya mahusiano na mapenzi.
Ukirudi ukubwani kwa kweli natuma salamu kwa mod na wanachama wote waaminifu.
Mwisho napenda kutoa pongezi kwa wote waliokubali kuishi kama familia na kupendana kwa dhati nawatakia heri na fanaka Mungu awatie hamu ya amani na upendo kila muamkapo na mlalapoBwana Yesu awalinde na kuwabariki..thanks ma luv aggy
Pili napenda nimshukuru Mungu kwa kunizalia mama mkwe ambae bila kujua akanizalia mwanae ambae leo hii namwita mke/hny/sweet/baby/nk.
Ntakuwa si mchoyo wa mawazo kwa kumpongeza babamkwe na wazazi wangu wote waliomkubali mke wangu kwa hali na mali na awali ya yote apo juu.
Nakushukuru RASMI Mpenzi wangu agatha kwa kunikubali nikiwa sina kitu leo tunafurahia matunda ya uvumilivu wetu tukiwa kwetu na mwana wetu mbezi beach...Mungu akupe nguvu ya kunikubali kama nilivyo natumaini nyuma aturudi tena tunasonga mbele.
Sijawaacha wapendwa wangu wa JFkwa upande wenu mmekuwa wema kwa ushauri na mawazo mazuri ya kufurahisha na kujikuza familia tumekuwa tukiangalia pamoja nyumbani pande ya mahusiano na mapenzi.
Ukirudi ukubwani kwa kweli natuma salamu kwa mod na wanachama wote waaminifu.
Mwisho napenda kutoa pongezi kwa wote waliokubali kuishi kama familia na kupendana kwa dhati nawatakia heri na fanaka Mungu awatie hamu ya amani na upendo kila muamkapo na mlalapoBwana Yesu awalinde na kuwabariki..thanks ma luv aggy