Happy Birthday Mwita25

Hongera kwa sikukuu yako ya kuzaliwa ingawa nimechelewa kukupongeza ,Mungu aendelee kukupa yote yaliyo mema
 
The self named “Magnetic JF Superstar” has so astoundingly made me proud of him that as much as a good number do not understand him… at the end of the day he too was born and remembers and apparently celebrates Birthdays… and on acme of that, a Proud family man at age 33 (contrary to the majority who abhor/fear the institution) he seems to be proud of his wife… that says a lot about him… that all the posts I have come across, let alone the bunters we have shared thou few… do not come close... Regards to your wife....

:clap2:...Wish you a HAPPY BANGING BIRTHDAY…:clap2:

Kwa ulinganifu tu;

Mwita25 anajiita the magnetic jf superstar,

Faiza Foxy anajiita JF Celebrity,

Mmoja anadai ameoa na mwingine anadai ameolewa. Na wote wako mlengo mmoja na wanapokezana kushambulia jukwaa usiku namchana.

Ninaona dalili za wazi kwamba hawa watu ni mke na mme, if they are telling the truth!!
 
I wish it was the deathday!
A guy of only 33yrs, but a behave like 80yrs old! I wish you hell
 
I wish it was the deathday!<br />
A guy of only 33yrs, but a behave like 80yrs old! I wish you hell
<br />
<br />
Hakika hutasherehekea X-mass ya mwaka huu kabla ya kifo chako.
 
<br />
<br />
Hakika hutasherehekea X-mass ya mwaka huu kabla ya kifo chako.

ungemwambia hakika hutamaliza siku bila BAN hapa JF ningekuelewa maana ni kitu kinachoendeshwa kibinadam!
na je akifikisha huo mda na kupitiliza utafanyaje? unamawasiliano na Mungu? kweli wee kiazi, looh!
 
ungemwambia hakika hutamaliza siku bila BAN hapa JF ningekuelewa maana ni kitu kinachoendeshwa kibinadam!
na je akifikisha huo mda na kupitiliza utafanyaje? unamawasiliano na Mungu? kweli wee kiazi, looh!


Tatizo lake anafikiri Mungu nae ni sisiem
 
Hongera sana mkuu ingawa nimechelewa sana lakini tupo pamoja mkuu
 
Back
Top Bottom