MKATA KIU
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,851
- 6,201
26 yrs of age si haba,, naona wedding bells nazo zinakaribia kugonga as life la kibachelor nimeona pengo lake as wife angekuwepo ndan si ajabu bonge la keki na mapocho pocho kibao yangekuwa around..( Ndo maana sizipendi hizi long distance relationship)
But ki bachelor life ndo kwanza najipongeza na castle light baridi as ndo zilizopo kwenye friji,, nikivutavuta muda niende kwa B mkubwa nje ya mji huko nae akafanye mambo yake hata ya ka cake tufurah na familia....
But ki bachelor life ndo kwanza najipongeza na castle light baridi as ndo zilizopo kwenye friji,, nikivutavuta muda niende kwa B mkubwa nje ya mji huko nae akafanye mambo yake hata ya ka cake tufurah na familia....