Dr Justice
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 797
- 848
Heshima mbele wakuu,
Napenda tuungane kwa pamoja kumpongeza mkuu Maxence kwa kufikisha siku hii
na kuongeza umri mwingine katika maisha yake,tumuombee heri, afya, njema, na
maisha marefu. Mungu ampe nguvu za kusonga mbele zaidi.
Heri ya kuzaliwa mkuu Maxence...........
Napenda tuungane kwa pamoja kumpongeza mkuu Maxence kwa kufikisha siku hii
na kuongeza umri mwingine katika maisha yake,tumuombee heri, afya, njema, na
maisha marefu. Mungu ampe nguvu za kusonga mbele zaidi.
Heri ya kuzaliwa mkuu Maxence...........