hehehe, wifi kesi hii inakuhusu vilivyo! manake bila ww na shemeji mi nisingewajua wahalifu hawa,lol
kuhusu pipi, hizo wagawie watoto tu. mie na ww hatudhuriani
Hivi nachosoma ndo kilichoandikwa au macho yangu yananidanganya? Inauma sana aisee..... This is very unfair....ODM amesikitika sana, ODM amefadhaika sana......ODM is sad and unhappy.... But his love is still there....won't change. i
hivi no avatar is an avatar eeh? kaazi kweli kweli! i
duhhh
haya mambo ya kuchukua holiday
haya saa nyingine mabaya sana yaani...
Nimepitwa na bday party ya kufa mtu duuhhh
nway King'aaast I need youu I love youu
ana ana anaaa doo .........
King'ast Happy Belated Birthday my dear
hopefully you had a great,
(full of fun) day.....
Happy Birthday King'ast .............
Duh nilipitwa na pongezi hizi Ashadii, Happy belated bday King'asti, Mungu akupe afya uishi miaka mingine mingi zaidi ya hii
Aseeee!!!!Memo katoa tu hio avatar.... siwezi shangaa kama uongozi wa jf ndo wamemwambia... lol... yaani it was nasty....