King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,781
amen, ubarikiwe nawe pia. asante sana kimey!!
Heri ya kuzaliwa kiongozi..Barikiwa sana !
Heri ya kuzaliwa kiongozi..Barikiwa sana !
(La kutokupatikana pale ODM anapokuhitaji the most):angry:
And you know where to find me, don't you shem?
Jamani... How do i jitetea hapa.... Dah! Just know kiroho i was with you thus the ujumbe via another....
Shhhhhhh..........kuna watu wana digrii za majilaz hapa LOL hawachelewi kuiloga skriin yako hapo isionyeshe posts za ODM
Happy Birthday My dear King'asti (nashangaa babu ODM kusema eti jina gumu hili)
Me na Mpenzi wangu AshaDii tunakuandalia bonge la futari leo.,, na madamu umeahisi kutokuja na AK47 basi hata waoga waoga kama Kina TF na Kimey watakuwepo (kimey hatakuwa peke yake, supposedly)
I wish you many happy days ahead,
Hommie inaelekea we hujafunga, nimesema linakuwa gumu ukiwa na njaa.......... na unajua tena swaumu na jua hili ilivyo kali.... Sijaona sehemu ukimsalimia shem wangu.....Hii tabia umeanza lini?
hapo juu na hapa chini, babu u smell very fishy! wifi, watch me coz i am watching u! mi nna wivu na all married pple,ohoo!:angry:Sweetie... that is so sweet of you.....
Thats so sweet to learn that you get all that sweetness from my homeboy
Umeona eeeh? Ila hapo juu... Sweetie kafunga bana, ananipa company in everything... si unajua mmoja akifunga mwingine asifunge ni disaster!
Ninaungana na WanaJF kwa kukutakia kila heri, baraka, mafanikio na furaha,
Kwa siku hii na siku zote za maisha yako. Ninakuombea uishi maisha marefu
Yaliyojaa afya njema, amani, upendo, mapenzi na mafanikio: yote hayo ukiwa umejawa na FURAHA TELE.
HONGERA KWA SIKU YAKO YA KUZALIWA!
HAPPY BIRTHDAY!
EID MILAD SAEED!
JOYEUX ANNIVERSAIRE!
FELIZ CUMPLEAÑOS!
ALLES GUTE ZUM GEBURTSTAG!
Waoooowh....! Happy birthday dearest!! May all the Allah's blessings sorround ur life forever!!
Hahahaha, hizo ni propaganda za americans tu... Mi muungwana bwana
I wish you a lovely day, not just today because it is your birthday, but all year round. May you always wake up in the morning with a smile on your face. Happy Birthday to you mamaa King'asti.
XoXo
And where the hell is our birthday girl?
ODM is missing her vibaya sana.
Hebu ulizana na Sweetie wako....Nna mashaka kuna mtu alienda kumnyonyesha bia huyu binti mzaliwa..... Manake hayo makomenti hapo juu, lazima aliyaandika akiwa amelewa.......khaa!hahaha..hommie...ivi jama hamjaondoka wote kweli?
Hebu ulizana na Sweetie wako....Nna mashaka kuna mtu alienda kumnyonyesha bia huyu binti mzaliwa..... Manake hayo makomenti hapo juu, lazima aliyaandika akiwa amelewa.......khaa!
<br />She will be right back... anajaribu derrah atalovaa wakati wa kufuturu.....
<br />And where the hell is our birthday girl?<br />
<br />
ODM is missing her vibaya sana.
Aisee hivi we mchawi kumbe? Uliijuaje hamu yangu?am here babu, right here! kwani nini mbaya tenaaaa? ushapata hamu ya kuibiwa nianze kushusha vesi?
<br />
<br />
Hommie......ngoja niwahi Calabash nikasherehekee birthday ya King'asti (damn, hili jina hili.......khaaaa)hapo sahihisha kidogo sema mbege bwana......nimeona nikajua this is KIng'asti...
<br />"King'aaasti, i need u, i love uuuu" wapi mr nice king'asti? Happy birthday, uishi maisha marefu hadi tukuanike kwa jua.
<br />happy b day kingasti<br />
zawadi yako inakuja