Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,702
Dua is the only gift I can offer u.
I ask God to yake care of u, may God bless u and be by your side always.
Happy b.day with love from me, Angel N.
Asante sana Angel N. Ubarikiwe!
Dua is the only gift I can offer u.
I ask God to yake care of u, may God bless u and be by your side always.
Happy b.day with love from me, Angel N.
HPPY BRTHDAY MKUU, Ndio miaka 70 na ngapi vile??!
MAPROSOO.
MAPROSOO Mkuu, umeshamuharibia dogo Katavi siku yake.Asante Maprosoo, hiyo miaka bado sana.
MAPROSOO Mkuu, umeshamuharibia dogo Katavi siku yake.
Birthday si siku ya kukumbushana miaka bali kuisahau iliyopita na kufurahia ijayo.
Dogo Katavi, Hongera sana kwa ksherehekea siku ya kuzaliwa kwako (sio miaka yako).
Mungu akujaalie uishi mingi, mingi, mingi zaidi ukiwa mwenye afya, furaha ...na vijisenti kidogo.
Happy birthday Katavi, may you live many more!
I am dancing and singing on your birthday!
Only that you cant see me!!
Happy birthday
Wish I was celebrating with you.
Hahahaha,Hahahaahh!! Asante sana Cantalisia, you made my day!
Happy birthday mkuu.I wish you a long and joyful life.
Happy birthday Katavi! Mungu akupe maisha marefu!
May god gives you longer and good life !
Hahahaha,
Ur well come swaiba lol!
Hii keki imetulia........sichezi mbali na Katavi leo...kata keki tuleeeeeeeee
Huyu Maprosoo sijui vipi kunizeesha wakati anajua mimi bado dogo....... Asante sana kwa dua zako, ubarikiwe!
MAMMA100 Nlikua sijui kama namwaribia SIKU!!MAPROSOO Mkuu, umeshamuharibia dogo Katavi siku yake.
Birthday si siku ya kukumbushana miaka bali kuisahau iliyopita na kufurahia ijayo.
.