Happy Birthday JK!

Leo ni siku ya kuzaliwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete. Ninamtakia Birthday njema na Mungu amzidishie siku za kuishi duniani, neema, rehema na busara za kuiongoza Tanzania.

Watu kwa kujipendekeza
 
hivi hawa moderator hawaoni kuwa hili tangazo la biashara lipo kila mahali humu jf.
 
Star prezidwaa
I love you, jk, and want you to know,
I feel your love wherever I go.
Whenever
I've problems, you're there to assist,
The ways you have helped
me would make quite a list.

Your wisdom and knowledge have shown me the way,
And I'm thankful for you as
I live day by day.
I don't tell you enough how important you are,
In
my universe you're a bright shining star.


May the best of your past be the worst of your future.
happy birthday


selfish,
 
Akwende zake huko huyo Fisadi, anyway Happyday mungu ampunguzie Maisha ili watanzania wafarijike, matatizo tuliyoyapa kwenye utawala wake yanatosha
 
Aongezewe maisha marefu ili iwe nini?? Eti amuongezee busara? Lini alikuwa na kidogo mpaka leo aongezewe? Huyu ni wa kumuomba mungu ampe busara na si kuongezewa maana hajawahi kuwa hata na kidogo.
 
Star prezidwaa
I love you, jk, and want you to know,
I feel your love wherever I go.
Whenever I've problems, you're there to assist,
The ways you have helped me would make quite a list.

Your wisdom and knowledge have shown me the way,
And I'm thankful for you as I live day by day.
I don't tell you enough how important you are,
In my universe you're a bright shining star.


May the best of your past be the worst of your future.
happy birthday



Hapa si bure ukisikia anasifia mvua ujue imemnyea
 
Happy Birthday mtawala wa wadanganyika! una miaka mingapi sasa? Hivi bado hujafika umri wa kustaaf au unarudisha umri nyuma?
 
wewe uliyeanzisha hii thread nakushukuru sana kwa hii thread yako kunikumbusha kuwa na mimi ninatimiza miaka kadhaa leo hii, akhsante sana! bila hivyo ingenipita hivi hivi maana nilishasahau!
 
wewe uliyeanzisha hii thread nakushukuru sana kwa hii thread yako kunikumbusha kuwa na mimi ninatimiza miaka kadhaa leo hii, akhsante sana! bila hivyo ingenipita hivi hivi maana nilishasahau!

JAYJAY happybirthday bana, sasa hapa ulipojichanganya mkuu wangu sijui utatoka je, ngoja nikutoe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom