Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,171
- 3,346
Nachukua fursa hii kukutakia kila la kheri katika kusherekea sikukuu ya kuzaliwa kwako. Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu yenye baraka tele, akupe zaidi kipato na akuwezeshe kuwa mvumilivu na mwenye hekima katika siku za uhai wako.
Mwisho tumia siku yako ya leo kujifunza mapungufu yako ili uyarekebishe na mazuri yako ili uyaendeleze. Samehe na sahau wote waliokukosea, Mungu atakufanya uwe mpya.
Mabox ya zawadi nimeahidiwa yanaletwa na other JF members kama akina MaxenceMelo, Kimey, Kaizer, Preta, PakaJimmy, Fidel180, Asprini, Finest, MwanaJamii One, MariaRoza, BigMama, Afrodensi, WiseLady, LilyFlower, DenaAmsi na wengine wengi tu wanakufahamu, jiandae kwa mapokezi.
Mwisho tumia siku yako ya leo kujifunza mapungufu yako ili uyarekebishe na mazuri yako ili uyaendeleze. Samehe na sahau wote waliokukosea, Mungu atakufanya uwe mpya.
Mabox ya zawadi nimeahidiwa yanaletwa na other JF members kama akina MaxenceMelo, Kimey, Kaizer, Preta, PakaJimmy, Fidel180, Asprini, Finest, MwanaJamii One, MariaRoza, BigMama, Afrodensi, WiseLady, LilyFlower, DenaAmsi na wengine wengi tu wanakufahamu, jiandae kwa mapokezi.