Madame B mambo?? mzima wewe?? tena eti klorokwini kamletea ugoro wa russia! leo huko kizaa, kizaa!Ila usivute ule ugoro wako.
tena toka nimezaliwa sijasusu, nadhani nahitaji ngetwa yangu (wine + nyagi) nishtue hizi kidneys!Karibu sana mpenzi.......nije nikubadilishe diaper wangu?
hubby! I LUV U MO! have a special gift for u!Hahahaha! Mi nikiiona hilo napakumbuka Mwarubaini.
Nipo msiri wangu nilikuwa natazama mapicha kule,kinaendelea nini hapa,na jana ulifika salama lakini......
nikilionaga hilo neno basi akili yangu inafyuzi kwa muda,
na-vibrate sijui kwanini.
Hapana, nakuja kamili gado....
Madame B mambo?? mzima wewe?? tena eti klorokwini kamletea ugoro wa russia! leo huko kizaa, kizaa!
Kuna B'day ya Mamito cacico,
sasa nataka uje uambatane nami ili 'Nikipombeka kinyama' kwenye sherehe unibebe mpaka home.
C unajua Shemejio Kasafiri?
Hakuna wa kunifata.