African American
Senior Member
- Feb 6, 2012
- 165
- 62
wanataaluma waukweli wanaheshimiana ila u-dr wa jk ni cheche
Dokta si katoka Vatikan mbona hajapokelewa kama Lipumba? au hana jipya?
Bakwata na shura ya maimamu ndio iliandaa mapokezi ya Sheik Ibrahim jana na kuksababisha misikiti kukosa waumini na hata adhana zilikuwa hazisikiki.Dokta si katoka Vatikan mbona hajapokelewa kama Lipumba? au hana jipya?
unawashwa?
Bakwata na shura ya maimamu ndio iliandaa mapokezi ya Sheik Ibrahim jana na kuksababisha misikiti kukosa waumini na hata adhana zilikuwa hazisikiki.
Bakwata na shura ya maimamu ndio iliandaa mapokezi ya Sheik Ibrahim jana na kuksababisha misikiti kukosa waumini na hata adhana zilikuwa hazisikiki.
Huna jibu.
Dokta si katoka Vatikan mbona hajapokelewa kama Lipumba? au hana jipya?