Pundit
JF-Expert Member
- Feb 4, 2007
- 3,733
- 123
Bila roho hakuna uhai, kama roho iko fabricated basi kwa nini robot wasibreath as all organism created by God do?
Robot hawana uhai na hawa "breath"si kwa sababu hawana roho (mwanadamu pia hana roho) bali kwa sababu hawana cells wala respiratory system.
Bina damu wana uhai si kwa sababu wana roho (hawana) bali kwa sababu wana cells na respiratory system.
Hamna roho wala soul hapo.