mwaJ JF-Expert Member Sep 27, 2007 4,074 2,947 Oct 1, 2012 #2 Ndio inavyotakiwa - faulu kwa akili yako lakini sio kwa kukalishwa chini ya miti.
B Bulesi Platinum Member May 14, 2008 14,205 13,709 Oct 1, 2012 #3 Hata sio suluhisho la CHABO; hapo wale wasichana wanaoweka makaratasi kwenye mapaja chini ya sketi ndio wanapata nafasi poa!!
Hata sio suluhisho la CHABO; hapo wale wasichana wanaoweka makaratasi kwenye mapaja chini ya sketi ndio wanapata nafasi poa!!
F farkhina Platinum Member Mar 14, 2012 14,568 16,906 Oct 1, 2012 #4 Yaani jua lilivokaji hapo hata huyo mwenye ufaham mkubwa lazma achanganyikiwe Sent from my BlackBerry 9100 using JamiiForums
Yaani jua lilivokaji hapo hata huyo mwenye ufaham mkubwa lazma achanganyikiwe Sent from my BlackBerry 9100 using JamiiForums
cacico JF-Expert Member Mar 27, 2012 8,362 7,797 Oct 1, 2012 #5 Lord Have Mercy! Sasa hapo manyunyu yakianza?? hii nchi hii, afadhali kusadikika!
Donnie Charlie JF-Expert Member Sep 16, 2009 15,103 16,147 Oct 1, 2012 #6 cacico said: Lord Have Mercy! Sasa hapo manyunyu yakianza?? hii nchi hii, afadhali kusadikika! Click to expand... Na kwa hao walio chini ya mti kama kunguru akifanya mambo itabiti iombwe katatasi nyingine aanze upya
cacico said: Lord Have Mercy! Sasa hapo manyunyu yakianza?? hii nchi hii, afadhali kusadikika! Click to expand... Na kwa hao walio chini ya mti kama kunguru akifanya mambo itabiti iombwe katatasi nyingine aanze upya
Mwanahisa JF-Expert Member Jun 29, 2012 1,382 510 Oct 1, 2012 #7 hii ni kudhohofishana kifikra, psychological wameshafeli 80%, usomee darasani siku zote, mtihani wa mwisho chini ya mti.
hii ni kudhohofishana kifikra, psychological wameshafeli 80%, usomee darasani siku zote, mtihani wa mwisho chini ya mti.