First Born JF-Expert Member Jul 11, 2011 5,310 1,473 Jul 15, 2011 #2 jamaa baada ya kulewa akiwa katika harakati za kumchapa mtoto, mama alijifanya kumsaidia mwanae lakini jamaa ameamua kuwatundika wote.
jamaa baada ya kulewa akiwa katika harakati za kumchapa mtoto, mama alijifanya kumsaidia mwanae lakini jamaa ameamua kuwatundika wote.
Amyner JF-Expert Member Jul 13, 2011 2,397 877 Jul 16, 2011 #3 Jamani katoto kalivyoshikwa! Men like that deserve to rot in jail! Because kilichofuata pale we can all tell ni kipigo tu!
Jamani katoto kalivyoshikwa! Men like that deserve to rot in jail! Because kilichofuata pale we can all tell ni kipigo tu!
K Kifuna JF-Expert Member Aug 7, 2008 442 117 Jul 16, 2011 #5 Mnisamehe watu wa Musoma lakini huyu baba atakuwa ana asili ya huko!
Mzizi wa Mbuyu JF-Expert Member May 15, 2009 7,320 6,806 Jul 16, 2011 #7 Umasikini tuuu..................!
kinyoba JF-Expert Member Jun 2, 2011 1,267 718 Jul 16, 2011 #9 huyu mlevi tu na masikini. halafu ni mkurya
Roulette JF-Expert Member Dec 15, 2010 5,579 5,374 Jul 16, 2011 #10 hii picha isha zunguushwa sana humu jamvini. Leta jipya