manuu
JF-Expert Member
- Apr 23, 2009
- 4,064
- 10,723
Hayo ndo matumizi ya pesa,kama ipo tumia kama huna jutia nampa thumbup bro kwa kumfisha Happy hiyo pete nawaombea sana harus iwe ya kifahari hadi uwekwe kwenye kumbukumbu ya TZ.Hamjasikia Pdidy kamzawadia mtoto wake gari lenye dhamani ya ajabu kwenye b/day tu.