Bikirembwe
JF-Expert Member
- Feb 13, 2008
- 250
- 7
Nilikuwa ninampa Waziri Mkuu mpya the benefit of the doubt, lakini ninaanza kuwa na wasi wasi na hizi kauli, kama kweli mkulu ni kichwa kama tulivyoambiwa, mhhhhhhh! yaaani wabunge wapitishe tu muswaada, bila ya kuujadili kwa sababu ulipojadiliwa mara ya mwisho ulisababisha mwawaziri kujiuzulu, yaaani hiyo tu inatosha kuwa sababu ya kuupitisha muswaada?
Hivi huyu Ngeleja naye vipi mnaojua uwezo wake tupeni dataz, maana this do not sound good kuhusiana na uwezo wake wa kufikiri mpaka kikazi? Hivi si kuna watu walisema ni kichwa huyu?
Ama imi simjui lakini niliwahi kusoma katika gazeti kuwa baada ya kuteuliwa alisema hajaaza kazi hadi apate maelezo kutoka Ikulu - sasa utajua ni mtu wa aina gani?