Ezekiel nyalusi
Member
- Aug 24, 2016
- 13
- 20
*Zuzu* alipewa gari aendeshe matokeo yake akaua watu 50
*Traffic*:Imekuaje ukaua watu wote hawa?
*Zuzu*:Nilikuwa spidi ghafla nikaona watu weng kushoto na mmoja kulia wewe traffic ungefanyeje?
*Traffic*:Ningemgonga yule mmoja ilikuokoa maisha ya watu wengi
*Zuzu*:hicho ndo nlichokusudia lkn nlivotaka kumgonga yule mmoja akakimbilia kwa watu weng akadhan sijamwona nikamfata huko huko
*Traffic*:Imekuaje ukaua watu wote hawa?
*Zuzu*:Nilikuwa spidi ghafla nikaona watu weng kushoto na mmoja kulia wewe traffic ungefanyeje?
*Traffic*:Ningemgonga yule mmoja ilikuokoa maisha ya watu wengi
*Zuzu*:hicho ndo nlichokusudia lkn nlivotaka kumgonga yule mmoja akakimbilia kwa watu weng akadhan sijamwona nikamfata huko huko