M Msharika JF-Expert Member May 15, 2009 947 69 Feb 28, 2011 #2 Hapa kila mmoja anajiuliza, "Vipi, na wewe pressure ya maandamano na watu kudai katiba mpya kwako imeanza?"
Hapa kila mmoja anajiuliza, "Vipi, na wewe pressure ya maandamano na watu kudai katiba mpya kwako imeanza?"
Mpevu JF-Expert Member Nov 23, 2010 1,805 173 Feb 28, 2011 #3 Wanajadili jinsi ya kupokezana vijiti 'uenyekiti wa AU'
TUKUTUKU JF-Expert Member Sep 14, 2010 11,765 4,033 Feb 28, 2011 #4 Namna ya kueneza dini ya kiislamu!!
matungusha JF-Expert Member Dec 29, 2010 594 126 Feb 28, 2011 #5 TUKUTUKU said: Namna ya kueneza dini ya kiislamu!! Click to expand... Acha udini ww!!!
Safari_ni_Safari JF-Expert Member Oct 5, 2007 23,268 17,097 Feb 28, 2011 #6 Mkulu amekula mlato(kiatu) wa kijani au macho yangu mabovu? Duh atakuwa manazi wa CCM vibaya sana
Click_and_go JF-Expert Member Nov 21, 2010 451 5 Feb 28, 2011 #7 ...hapo mkwere sijui ndo anatafakari kitu gani!
Ndibalema JF-Expert Member Apr 26, 2008 10,956 4,648 Feb 28, 2011 #8 Alafu kwanini Marafiki wa Mkwere ni hao hao akina Gabgo, Gadafi, Mubarak?? why?
G gidytitus JF-Expert Member Oct 4, 2010 332 28 Feb 28, 2011 #9 wanapanga wapi wakutane mara baada ya kufukuzwa na raia!
Mallaba JF-Expert Member Jan 30, 2008 2,554 47 Feb 28, 2011 #11 ndege wa aina moja husafiri pamoja Ndibalema said: Alafu kwanini Marafiki wa Mkwere ni hao hao akina Gabgo, Gadafi, Mubarak?? why? Click to expand...
ndege wa aina moja husafiri pamoja Ndibalema said: Alafu kwanini Marafiki wa Mkwere ni hao hao akina Gabgo, Gadafi, Mubarak?? why? Click to expand...
Mallaba JF-Expert Member Jan 30, 2008 2,554 47 Feb 28, 2011 #12 wa wapi? SARAWAT said: wanapanga jinsi ya kuwa wafalme Click to expand...
M Mfwatiliaji JF-Expert Member Oct 5, 2007 1,323 67 Feb 28, 2011 #13 Kumbe ndiyo maana yuko kimya.. kule kwa mchakachuaji mwenzie gabgo aliteta nini? sijawasikia