Mkuu mimi ni Mkaka lakini Usihofu Hoja hazina Mkaka wala Mdada...., Karibu Sana Ndugu, hapa ni nyumbani usisite kutembelea majukwaa yote ingawa mengine mpaka uwe member (jukwaa la wakubwa - PM invisible)..., Jukwaa la Dini (nadhani PM invisible pia ingawa huko sijawahi kufika) Jukwaa la Premium Members (Changia JF) ingawa na mimi bado ila soon, nataka nikachungulie kuna nini huko ndani, na pia niwape asante hawa wanaoendesha JF...
Umejuaje sasa kama Sir... Lol. Karibu mwaya hata mie this forum is my favourite najifunza mambo engi sana as watu wanashare mambo mbalimbali mpaka sometimes unaweza ukafikiria ni hadithi kumbe kweli. Happy Valentine's fun wote wa this 4rum.:mwaaah:
ooh, Lizzy! the feeling is mutual asante sana and happy valentine my dear
Hongera muhosni kwa kulitambua hili..hata me nimejiunga na upande huu siku sio nyingi ila nafarijika sana kwani nimepunguza mawazo na maumivu ya mapenzi..jamani hakuna kitu kinachoumiza kama unampenda na kumheshimu mpnz wako halafu ukaja gundua si mwaminifu.. its pain..