Are you hunting those places or you 'just happen' to work in areas with funny names? loltrue... i have been there once, and last monday nilienda tIGOni na kimbimbi.... hapo ndipo nikachoka na majina ya kenya
Nimeshakujua mkuu, wala kuficha sura hakujasaidia kitu, watu tunajua teknolojia ya kufunua vilivyofunikwa...............kwa sabab sipendi kufahamika kwa sura yangu ila kwa ID tuu.
ha ha ha.naisubiri hiyo siku.sio adobe photoshop wala illustrator inaweza kuondoa hicho kiduara cheupe na ku-display sura yangu.labda uniambie utatumia softwere zinazotumiwa na watu wa vitengo vya kijasusi kama TISS -kama wanazo hizo softwares.eep:Nimeshakujua mkuu, wala kuficha sura hakujasaidia kitu, watu tunajua teknolojia ya kufunua vilivyofunikwa...............
Siku nikikuona mtaani nitakupa Hi, kwa jina la Kadoda11 ndio utashangaa!
...ID yangu inatosha mkuu.sura na mambo mengine yanabaki tweeter na FB.:wink2: