zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Niambie hiyo dress code iliyoandikwa kwenye katiba yenu mpaka ZnZ ifananishwe na Iran, mbona mnachuki zenu binafsi nyie, its not secret kuwa ZnZ more than 80% ni waislamu na hilo ni vazi lao sasa makosa yako wapi?
Pumbaaaaaaa
99% asie Muislaam katoka bara.