Hapa ni nchi gani?

Nchi gani ili iweje?
kwaza; usitupotezee muda kuna mambo mengi mazito yanayotishia kuyumbisha mustakabali wa nchi yetu tunahitaji kuyajadili, Sasa kutuuliza kitu ambacho jibu lake unalo unamaanisha nini?

Pili; tukisha ijua hiyo nchi faida yake ni nini?

tatu; jamiiforum sio mahala pa kupotezea muda bali ni mahala pa kuelimishana, kupeana maarifa, hoja,utatuzi na ufumbuzi wa masuala mbalimbali yanayogusa jamii na taifa kwa ujumla

Nenda ktk jukwaa la Siasa! Kujua kama apo ni nchi gani nako ni kuelimishana bana,we vp?!
 
Nchi gani ili iweje?
kwaza; usitupotezee muda kuna mambo mengi mazito yanayotishia kuyumbisha mustakabali wa nchi yetu tunahitaji kuyajadili, Sasa kutuuliza kitu ambacho jibu lake unalo unamaanisha nini?

Pili; tukisha ijua hiyo nchi faida yake ni nini?

tatu; jamiiforum sio mahala pa kupotezea muda bali ni mahala pa kuelimishana, kupeana maarifa, hoja,utatuzi na ufumbuzi wa masuala mbalimbali yanayogusa jamii na taifa kwa ujumla


kama tukianza michezo ya watoto hata maana ya jf haitaonekana! lets be seriously!
 
Back
Top Bottom