J JATELO1 JF-Expert Member Oct 31, 2011 1,230 301 Jan 31, 2012 #61 Yaani uki-imagine tu kwamba mwanao mwenye miaka 12 jamaa tayari wanampigisha pushapu! Inauma sana.
Asnam JF-Expert Member Jan 18, 2012 4,256 2,944 Jan 31, 2012 #62 nitampeleka chuo cha bwagamoyo ajifunze zaid ya hicho
Masanilo Platinum Member Oct 2, 2007 22,286 4,493 Jan 31, 2012 Thread starter #63 TELO said: Yaani uki-imagine tu kwamba mwanao mwenye miaka 12 jamaa tayari wanampigisha pushapu! Inauma sana. Click to expand... Kwa kweli inauma sana!
TELO said: Yaani uki-imagine tu kwamba mwanao mwenye miaka 12 jamaa tayari wanampigisha pushapu! Inauma sana. Click to expand... Kwa kweli inauma sana!
Michael Amon JF-Expert Member Dec 22, 2008 8,775 3,610 Jan 31, 2012 #64 Aisee kama huyo ni mwanangu atakula viboko hadi ashindwe kukaa