The Farmer
JF-Expert Member
- Jan 7, 2009
- 1,658
- 557
Hizi picha mimi sioni kama zina ukweli wowote!!!
halafu kama walivyosema walimkuta hayupo,nani aliwapa ruhusa ya kuingia ndani kwamtu na kuchakura chakura?..hap ni jikoni cjui wapi na wapi...nani awaruhusu kuyafanya hayo na mwenye mali/nyumba hamkumkuta?....tabia mbaya sana hiyo.
Je mpiga picha ana uthibitisho gani wa kutufanya tuamini kwamba hapo ni pa Mr. Misifa????
Mi siamini kama hapo ni pake, inawezekana hicho ni kibanda cha mtu aliyemuuzia kiwanja hapo kwa sababu hata furniture zenyewe ni za miaka ya nyuma sana ukilinganisha na umri wa bwana mdogo!! Niliwahi kusikia studio yake ya kurekodia muziki ipo nyumbani kwake, ni hapo?? Huku ni kutaka kuuza magazeti tu, Shigongo jitahidi ku balance story!!
Mademu zake anawapeleka wapi???
Mi siamini kama jamaa ana hela ya kuweka breach nywele lakini pesa ya kuweka day time house girl hana!!!
Hii inamaanisha kuwa nafasi hii iko wazi, hata wewe unaweza kuiziba.hivi hizo picha zina ukweli wowote fu hana hata ka G/F kanakoenda kumsafishia or H/gal
Jiko halina mlango hilo, mimi sioni kibaya hapo yeye si ni superstar mbona tuona hadi makabati ya chupi za akina mariah carey wacha tu watuoneshe na mastaa wetu wa bongo.
This shit is illegal, invasion of privacy fulani, could be breaking and entering depending on how they entered.
Hivi wakuu adhabu ya character assassination ni ipi?
Wikiendi hii, mapaparazi wa mtandao huu walitua pande za Tabata Kimanga jijini Dar es Salaam nyumbani kwa msanii wa muziki wa kizazi kipya, Dully Sykes a.k.a Mr.Misifa. Bahati mbaya hawakuweza kumkuta lakini waliishia nje ambako walivutiwa na hali ya jiko lake pamoja na dishi la Runinga yake. Hebu cheki ilivyokuwa...
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Huu ndio muonekano wa picha ya jiko la staa wetu Dully Sykes Handsome Boy ambaye picha yake inaonekana hapo juu
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Hapa ni mahali anapotumia kupikia chakula chake.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Baada ya kula huhifadhi vyombo vyake juu ya kochi hili la mbavu za mbwa bila kuviosha ambapo nzi hufanya tafrija kwenye makombo. Hapa ni baada ya kupata kifungua kinywa.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Hili ndio kabati lake la kuhifadhia vifaa vyote vya jikoni.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Ukishangaa ya Musa utaona ya Firauni.Hili ndiyo Dish ambalo 50 Cent wa Bongo, Dully Sykes hulitumia kwenye Runinga yake, ambalo ameligeuza kamba ya kuanikia nguo.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Pembeni ya nyumba ameegesha mkoko (gari) wake wa maana ambao hata hivyo ulikuwa na pancha katika tairi lake la mbele upande wa kulia.
http://www.globalpublisherstz.com/
Imenikera vibaya mno. Tukiruhusu haya tunaruhusu mengine ya zaidi, watanyemelea watu vyumbani na kupiga picha wakiwa vitandani. Uhuru uko wapi sasa?Duh MwalimuZawadi,
Imekukela sana nini??
Kwanza gari yake ni AVG tosha kabisa kuanzishia