Hapa ni jikoni kwa brazameni dully sykes, karibuni sana!

Je mpiga picha ana uthibitisho gani wa kutufanya tuamini kwamba hapo ni pa Mr. Misifa????

Mi siamini kama hapo ni pake, inawezekana hicho ni kibanda cha mtu aliyemuuzia kiwanja hapo kwa sababu hata furniture zenyewe ni za miaka ya nyuma sana ukilinganisha na umri wa bwana mdogo!! Niliwahi kusikia studio yake ya kurekodia muziki ipo nyumbani kwake, ni hapo?? Huku ni kutaka kuuza magazeti tu, Shigongo jitahidi ku balance story!!

Mademu zake anawapeleka wapi???

Mi siamini kama jamaa ana hela ya kuweka breach nywele lakini pesa ya kuweka day time house girl hana!!!
 
halafu kama walivyosema walimkuta hayupo,nani aliwapa ruhusa ya kuingia ndani kwamtu na kuchakura chakura?..hap ni jikoni cjui wapi na wapi...nani awaruhusu kuyafanya hayo na mwenye mali/nyumba hamkumkuta?....tabia mbaya sana hiyo.

Jiko halina mlango hilo, mimi sioni kibaya hapo yeye si ni superstar mbona tuona hadi makabati ya chupi za akina mariah carey wacha tu watuoneshe na mastaa wetu wa bongo.
 
Je mpiga picha ana uthibitisho gani wa kutufanya tuamini kwamba hapo ni pa Mr. Misifa????

Mi siamini kama hapo ni pake, inawezekana hicho ni kibanda cha mtu aliyemuuzia kiwanja hapo kwa sababu hata furniture zenyewe ni za miaka ya nyuma sana ukilinganisha na umri wa bwana mdogo!! Niliwahi kusikia studio yake ya kurekodia muziki ipo nyumbani kwake, ni hapo?? Huku ni kutaka kuuza magazeti tu, Shigongo jitahidi ku balance story!!

Mademu zake anawapeleka wapi???

Mi siamini kama jamaa ana hela ya kuweka breach nywele lakini pesa ya kuweka day time house girl hana!!!

Tuletee ushahidi wa kuthibitisha kauli yako, nenda kwake kalete picha tofauti na hii hapo na wewe utakuwa umebalansi stori vinginevyo unamuonea shogongo wa watu bure.
 
Inawezekana huyo braza meni mwenyewe Dully ndio kapika hii stori jina lake lisikike tena, si unajua tena mastaa wa kibongo wanapenda watokee kwenye magazeti na kuzua gumzo
 
Wala si kweli hiyo pic, kesho utaona dully anakanusha sio kwake hapo basi na mchezo umeisha, jamaa ndo zake anakutafuta anakuambia kuna dili mnapanga news kama hiyo mapicha nini, yanatoka kwenye gazeti lake, anauza kwa uzushi halafu kesho yake unaenda kanusha kwenye magazeti yake hayo hayo wakati huo ashakukatia mshiko.
 
Jiko halina mlango hilo, mimi sioni kibaya hapo yeye si ni superstar mbona tuona hadi makabati ya chupi za akina mariah carey wacha tu watuoneshe na mastaa wetu wa bongo.


wewe umejuaje kama jiko halina mlango?....mie siongelei kwamba yeye ni supastaa bac ndio amedhalilshwa, hata mie pia wangenidhalilisha, hayo ni ya mtu binafc kabisa.....
 
This shit is illegal, invasion of privacy fulani, could be breaking and entering depending on how they entered.

huu upupu sidhani kama ni kweli....vinginevyo hii ni trespass, duly kadai fidia ikusaidie kumalizie hilo jiko lako wanaloliponda.

Watu bana, mbona mnamlazimisha aishi mtakavyo ninyi??? kama priority kwenu ni kuwa na makazi ya maana, labda kwa 'mr. misifa ni viwalo, unyunyu,usafiri, etc...
 
Wikiendi hii, mapaparazi wa mtandao huu walitua pande za Tabata Kimanga jijini Dar es Salaam nyumbani kwa msanii wa muziki wa kizazi kipya, Dully Sykes a.k.a Mr.Misifa. Bahati mbaya hawakuweza kumkuta lakini waliishia nje ambako walivutiwa na hali ya jiko lake pamoja na dishi la Runinga yake. Hebu cheki ilivyokuwa...

<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Huu ndio muonekano wa picha ya jiko la staa wetu Dully Sykes’ Handsome Boy’ ambaye picha yake inaonekana hapo juu

<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Hapa ni mahali anapotumia kupikia chakula chake.

<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Baada ya kula huhifadhi vyombo vyake juu ya kochi hili la ‘mbavu za mbwa’ bila kuviosha ambapo nzi hufanya tafrija kwenye makombo. Hapa ni baada ya kupata kifungua kinywa.

<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Hili ndio kabati lake la kuhifadhia vifaa vyote vya jikoni.

<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Ukishangaa ya Musa utaona ya Firauni.Hili ndiyo Dish ambalo 50 Cent wa Bongo, Dully Sykes hulitumia kwenye Runinga yake, ambalo ameligeuza kamba ya kuanikia nguo.

<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Pembeni ya nyumba ameegesha ‘ mkoko’ (gari) wake wa maana ambao hata hivyo ulikuwa na pancha katika tairi lake la mbele upande wa kulia.

http://www.globalpublisherstz.com/





<table border="0" cellpadding="0" cellspacing="0" width="100%"><tbody><tr><td align="left" bgcolor="#cccccc"><table border="0" cellpadding="0" cellspacing="0" width="100%"><tbody><tr><td class="news1"> Dully, baba’ke wagombea penzi la kibinti

</td> <td class="news1" align="right" width="150">ijumaa wikienda</td> </tr> </tbody></table></td> </tr> <tr> <td bgcolor="#999999">
pix.gif
</td> </tr> <tr> <td class="morenews" align="left" bgcolor="#f3f3f3" valign="top"><!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd--> Tukio hilo lililosababisha mkusanyiko wa watu wengi, lilitokea Jumatano ya Agosti 20, 2008, Magomeni Mikumi, Dar es Salaam.

Shuhuda wa ‘soo’ hilo la baba na mwana alitupasha kuwa Dully na baba yake, kwa nyakati tofauti walikuwa wakijihusisha katika uhusiano wa kimapenzi na Anda 18 huyo bila wao kujua kuwa wanachangia ‘usingizi’.

“Walikuwa hawajuani, sasa siku hiyo Dully katoka nyumbani kwake Tabata kwenda kumsalimia baba yake kule Magomeni, alipofika ndiyo akamkuta Mzee Abby akiwa na hicho kibinti ndipo zogo likaanza.

“Dully akawa anadai yule ‘demu’ ni mtu wake, pia Mzee Abby anatamba kwamba yule ni mpenzi wake. Ikafikia kipindi Mzee Abby alikasirika, akamwambia yule msichana achague mmoja kati yao, ama yeye au mwanaye wa kumzaa.
“Mtu na baba yake wakataka kukunjiana ngumi, lakini wasamaria wema walimuweka Dully pembeni na kumuomba aache mambo yaishe naye akakubali,” kilinena chanzo chetu kabla ya kuongeza:

“Wakati Dully anabembelezwa kuachana na ugomvi, yule msichana alipata mwanya na kutokomea kusikojulikana.”
Pamoja na ushuhuda wa chanzo chetu, gazeti hili lilifanya uchunguzi katika eneo lililotokea tukio na kujiridhisha kwamba ni kweli sekeseke kati ya Dully na baba yake lilitokea.

Hata hivyo, Dully alipopewa na mwandishi wetu nafasi ya kuongea, alikanusha kugombea penzi la kibinti na mzee wake: “Mimi siwezi kufanya kitu kama hicho, mkiandika nakwenda mahakamani.”

Aidha, katika kuonesha kwamba mtu na baba yake walipanga ‘kamchezo’ ili kulizunga Ijumaa Wikienda, mwandishi wetu alipopiga namba ya simu ya mkononi ya Abby Sykes, iliita bila kupokelewa hata ilipojaribiwa zaidi ya mara 10.
Baadaye, Mzee Sykes akitumia simu ya Dully, aliongea na gazeti hili na kukanusha vikali madai hayo: “Mimi sitaki muuze gazeti kwa kunidhalilisha, mkiandika hiyo habari tutafikishana mbali.”
</td></tr></tbody></table>

http://www.globalpublisherstz.com/2008/09/01/dully_babake_wagombea_penzi_la_kibinti.html
 
Duh MwalimuZawadi,
Imekukela sana nini??

Kwanza gari yake ni AVG tosha kabisa kuanzishia
Imenikera vibaya mno. Tukiruhusu haya tunaruhusu mengine ya zaidi, watanyemelea watu vyumbani na kupiga picha wakiwa vitandani. Uhuru uko wapi sasa?
 
Nchi nyingine waandishi wanapigwa risasi kwa ajili ya udaku kama huu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom